myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Maisha ni mbio za ubunifu za kusisimua, zenye starehe nyingi. Sio tu kwamba washiriki wanashauri wasikose nafasi yao ya kipekee, lakini sauti ya ndani pia. Na kinachohitajika kwa hili ni kujiamini.
AiseeTafuta maisha lakini usisahau kuishi maana haujui kitakachotokea katika dakika inayofuata, siku kadhaa, miezi, au miaka, kwa hiyo ishi maisha kikamilifu, Kuwa na shukrani kwa baraka zilizo karibu yako, acha kupoteza muda kwa mambo usiyoweza kudhibiti
Maisha ni ligi na kuishi ni kushinda. Kila siku na dakika kuna mtu anaaga mashindano. Umeamka leo sababu umeshinda pambano lililopita na kuendelea kuwepo kwako baadae na kesho kunategemea kushinda kwako mapambano yajayo. Nafasi yako kwenye ligi inategemea pia mechi za wenzako.
✔️✔️Maisha ni ligi na kuishi ni kushinda. Kila siku na dakika kuna mtu anaaga mashindano. Umeamka leo sababu umeshinda pambano lililopita na kuendelea kuwepo kwako baadae na kesho kunategemea kushinda kwako mapambano yajayo. Nafasi yako kwenye ligi inategemea pia mechi za wenzako.
✅️✅️✅️Maisha ni ligi na kuishi ni kushinda. Kila siku na dakika kuna mtu anaaga mashindano. Umeamka leo sababu umeshinda pambano lililopita na kuendelea kuwepo kwako baadae na kesho kunategemea kushinda kwako mapambano yajayo. Nafasi yako kwenye ligi inategemea pia mechi za wenzako.
Maisha ni ligi na kuishi ni kushinda. Kila siku na dakika kuna mtu anaaga mashindano. Umeamka leo sababu umeshinda pambano lililopita na kuendelea kuwepo kwako baadae na kesho kunategemea kushinda kwako mapambano yajayo. Nafasi yako kwenye ligi inategemea pia mechi za wenzako.
👍👍Tafuta maisha lakini usisahau kuishi maana haujui kitakachotokea katika dakika inayofuata, siku kadhaa, miezi, au miaka, kwa hiyo ishi maisha kikamilifu, Kuwa na shukrani kwa baraka zilizo karibu yako, acha kupoteza muda kwa mambo usiyoweza kudhibiti
Tafuta maisha lakini usisahau kuishi maana haujui kitakachotokea katika dakika inayofuata, siku kadhaa, miezi, au miaka, kwa hiyo ishi maisha kikamilifu, Kuwa na shukrani kwa baraka zilizo karibu yako, acha kupoteza muda kwa mambo usiyoweza kudhibiti
✅️✅️Kuna Ile :
1)Kujua na unajua kuwa unajua.
2)Kujua na haujui kuwa unajua.
3)Kutokujua na unajua kuwa haujui.
4)Kutokujua na haujui kuwa haujui.
5)Kutokujua na anajua kuwa anajua
Ishi nao Kwa akili
Kama uko na nafasi ya kununua nguo nzuri nunua, kula vizuri kula, kupanga nyumba nzuri panga, kutoka na mama toka, maisha ni mchezo wa kuviziana nafasi nazo ni chache nyingi ni majukumu. Usipitwe na nafasi zako
✔️✔️✔️Kuna Ile :
1)Kujua na unajua kuwa unajua.
2)Kujua na haujui kuwa unajua.
3)Kutokujua na unajua kuwa haujui.
4)Kutokujua na haujui kuwa haujui.
5)Kutokujua na anajua kuwa anajua
Ishi nao Kwa akili
📌📌Kuna Ile :
1)Kujua na unajua kuwa unajua.
2)Kujua na haujui kuwa unajua.
3)Kutokujua na unajua kuwa haujui.
4)Kutokujua na haujui kuwa haujui.
5)Kutokujua na anajua kuwa anajua
Ishi nao Kwa akili
Kama uko na nafasi ya kununua nguo nzuri nunua, kula vizuri kula, kupanga nyumba nzuri panga, kutoka na mama toka, maisha ni mchezo wa kuviziana nafasi nazo ni chache nyingi ni majukumu. Usipitwe na nafasi zako
✅️✅️Njia rahisi za kuishi maisha yako
1. Acha kulaumu wengine kwa maisha yako
AiseeKama uko na nafasi ya kununua nguo nzuri nunua, kula vizuri kula, kupanga nyumba nzuri panga, kutoka na mama toka, maisha ni mchezo wa kuviziana nafasi nazo ni chache nyingi ni majukumu. Usipitwe na nafasi zako
📌📌Kuigiza sura ya furaha wakati moyo una maumivu ni njia nzuri sana ya kupambana na Kinachokuumiza