moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 142,674
- 743,909
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
'..sio kila mtu ana moyo kama wako.”Usitegemee kurejeshewa wema kwa sababu tu ulitenda wema, kumbuka kuwa sio kila mtu ana moyo kama wako.”
SAWA..Hakikisha unaishi na kuyafuata yale maisha unayopenda kuwashauri wengine wayaishi.
SAWA PIAJifunze kufurahia na kuridhika kwa kidogo ulichonacho, kumbuka kuwa kuna watu hata hawajabahatika kukipata hicho kidogo ulichonacho na bado wana furaha.”
SAWA.....Jifunze kufurahia na kuridhika kwa kidogo ulichonacho, kumbuka kuwa kuna watu hata hawajabahatika kukipata hicho kidogo ulichonacho na bado wana furaha.”
NAKUBALIMarafiki wa kweli watakuwa na wewe kila wakati, marafiki wasio wa kweli watakuhitaji tu pale watakapokuwa wanahitaji kitu kutoka kwako.”
✔️ ✔️Marafiki wa kweli watakuwa na wewe kila wakati, marafiki wasio wa kweli watakuhitaji tu pale watakapokuwa wanahitaji kitu kutoka kwako.”
🙏🙏🙏Hakikisha unaishi na kuyafuata yale maisha unayopenda kuwashauri wengine wayaishi.
Utu uzima dawa...Utu uzima ni pale unakuwa na uwezo wa kumuumiza mtu aliekukosea lakini unachukulia poa, unashusha pumzi,unaachana nae na kuyaacha maisha yamfunze
..hela ya mtu ni sumu..Asikudanganye mtu, hela ya mtu ni sumu, ukiichukua kwa ahadi ya kutimiza azma au jambo fulani uwe na uhakika unao uwezo wa kutimiza makubaliano, ama sivyo itakutokea puani. Hela ya mtu hailiwi bure." ~Togolani Mavura..
Inawezekana..Asikudanganye mtu, hela ya mtu ni sumu, ukiichukua kwa ahadi ya kutimiza azma au jambo fulani uwe na uhakika unao uwezo wa kutimiza makubaliano, ama sivyo itakutokea puani. Hela ya mtu hailiwi bure." ~Togolani Mavura
..hela ya mtu ni sumu ✔️Asikudanganye mtu, hela ya mtu ni sumu, ukiichukua kwa ahadi ya kutimiza azma au jambo fulani uwe na uhakika unao uwezo wa kutimiza makubaliano, ama sivyo itakutokea puani. Hela ya mtu hailiwi bure." ~Togolani Mavura
✅✅Kuna watu ni daraja la kuivusha riziki kwa wengine na kuna watu ni tuta la kukinga riziki isiwafikie kirahisi wengine. Ukiwa na nafasi ya kumsaidia au kumuinua mtu mmoja tu, msaidie na muinue yule ambaye kwa kuinuka kwake atakuwa katika nafasi nzuri zaidi ya kuinua wengine."
Kila mtu anaweza kuwa tajiri ✔️Kila mtu anaweza kuwa tajiri siku moja lakini wachache wanaweza kubakia katika utajiri. Wanaobakia kuwa matajiri ni wale wenye utajiri wa roho, wenye kuinua wengine, wenye utu, wenye nia njema na utajiri wao wa mali na wenye nidhamu ya maisha na hofu ya Mungu."~ Togolani Mavura.