myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Mungu amlinde mwenyewe
πππ€Έπ€Έπ€Έ Everybody dance now
ππThe first time
βοΈβοΈEndapo mtu anapendelea mtu mwingine zaidi kuliko wewe usijipe huzuni Maana Huwezi kumshawishi nyani kuwa asali ni tamu kuliko ndizi..
Nakubaliana na hiliUsiku Una Mambo Mengi, Mkumbuke Muumba Wako Hata kwa Dakika 5 Kabla Ujafumba Macho
β οΈβ οΈβ οΈMuda mwingine wana gundua tulikuwa sahihi kwao kisha wana amua kurudi kwetu kipindi wamechoshwa wakachoka ubaya wanatukuta na sisi tumechoshwa tukachoka hatu aminiani tena
ππMuda mwingine wana gundua tulikuwa sahihi kwao kisha wana amua kurudi kwetu kipindi wamechoshwa wakachoka ubaya wanatukuta na sisi tumechoshwa tukachoka hatu aminiani tena
ππMuda mwingine wana gundua tulikuwa sahihi kwao kisha wana amua kurudi kwetu kipindi wamechoshwa wakachoka ubaya wanatukuta na sisi tumechoshwa tukachoka hatu aminiani tena
βοΈβοΈKila unaekutana nae maishani ndani yake kuna mtu usiemfahamu,ndani yake anapigana vita usiyoifahamu Jifunze kua mwema siku zote
β οΈβ οΈEndapo mtu anapendelea mtu mwingine zaidi kuliko wewe usijipe huzuni Maana Huwezi kumshawishi nyani kuwa asali ni tamu kuliko ndizi..
πNitayainua macho yangu niitazame milima, Msaada wangu utatoka wapi? Msaada wangu u katika Bwana, Aliyezifanya mbingu na nchi.Zaburi 121:1-2
β οΈβ οΈKila siku ni nafasi ya kujifunza, hivyo jifunze kutoka kwa kila mtu na kwa kila tukio
πππKila siku ni nafasi ya kujifunza, hivyo jifunze kutoka kwa kila mtu na kwa kila tukio
βοΈβοΈβοΈKila mtu anajambo lake analojutia kwenye maisha yake, Kujutia ni sehemu ya ubinadamu wetu, Hakuna aliye kamilika na anafanya vitu kwa usawa.
Kila mtu anajambo lake analojutia kwenye maisha yake, Kujutia ni sehemu ya ubinadamu wetu, Hakuna aliye kamilika na anafanya vitu kwa usawa.
βοΈβοΈKila mtu anajambo lake analojutia kwenye maisha yake, Kujutia ni sehemu ya ubinadamu wetu, Hakuna aliye kamilika na anafanya vitu kwa usawa.
SawasawaKama una amini kugombana na kila mtu ndio kuheshimika na kuogopwa,basi wewe Ni dhaifu sana
Safiiiii