myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
AMANI..
UKINENEPA unakula sana, UKIKONDA mgonjwa,UKIVAA VIZURI unajionyesha, UKIVAA KAWAIDA huna pesa, UKIWA BIZE unaringa, UKIWA KARIBU NAO huna la kufanya,Hakuna kitu utakacho fanya binadamu akaacha kuongea, unachotakiwa kufanya ni kufanya kile kitakacho kupa AMANI