Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Ukweli unaweza kuumiza kwa muda, lakini uongo huumiza milele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha yana siri sana anaekupa stori ya mafanikio yake sio uhalisia tuendelee kuishi kwa imani na kufanya vitu tunavyoamini kwenye maisha
✅️✅️Fanya Mema Kwa Siri, Kwani Malipo Yake Yana Lindwa Na Mwenyezi Mungu
Maisha yana siri sana anaekupa stori ya mafanikio yake sio uhalisia tuendelee kuishi kwa imani na kufanya vitu tunavyoamini kwenye maisha
Mafanikio Yanatokana Na uthabiti Na sio Bahati,Endelea hata Kama Ikiwa Ngumu,Juhudi ndogo Kila Siku Huunda Matokeo Makubwa Kwa Wakati
Hata kuchelewa ni baraka. Endelea kumwamini Mungu.
Mafanikio Yanatokana Na uthabiti Na sio Bahati,Endelea hata Kama Ikiwa Ngumu,Juhudi ndogo Kila Siku Huunda Matokeo Makubwa Kwa Wakati