Imani huinua kilichodhaifu kuwa na nguvu, Imani hufungua chemchemi ya baraka na neema, Imani ni siri ya uzima na mafanikio. Imani ni mlango wa matumaini. Si magonjwa, si dhiki, si umaskini si dhoruba nyingine za maisha zitakutisha ukiwa na imani
Imani huinua kilichodhaifu kuwa na nguvu, Imani hufungua chemchemi ya baraka na neema, Imani ni siri ya uzima na mafanikio. Imani ni mlango wa matumaini. Si magonjwa, si dhiki, si umaskini si dhoruba nyingine za maisha zitakutisha ukiwa na imani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.