moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 142,674
- 743,909
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
📌📌Ukishakuwa mvivu, kwa kawaida, unaogopa kufanya kazi wakati wa kazi. Unachagua urahisi —kupumzika wakati ambao hukupaswa kupumzika.
Wakati unaohitaji kupumzika unashindwa kumpumzika vizuri —mawazo yako yanapambana na hatia ya kutokufanya kazi ambazo ulipaswa kuzifanya.
✅️✅️Ukishakuwa mvivu, kwa kawaida, unaogopa kufanya kazi wakati wa kazi. Unachagua urahisi —kupumzika wakati ambao hukupaswa kupumzika.
Wakati unaohitaji kupumzika unashindwa kumpumzika vizuri —mawazo yako yanapambana na hatia ya kutokufanya kazi ambazo ulipaswa kuzifanya.
👍👍👍Ukishakuwa mvivu, kwa kawaida, unaogopa kufanya kazi wakati wa kazi. Unachagua urahisi —kupumzika wakati ambao hukupaswa kupumzika.
Wakati unaohitaji kupumzika unashindwa kumpumzika vizuri —mawazo yako yanapambana na hatia ya kutokufanya kazi ambazo ulipaswa kuzifanya.
✔️✔️✔️Ukishakuwa mvivu, kwa kawaida, unaogopa kufanya kazi wakati wa kazi. Unachagua urahisi —kupumzika wakati ambao hukupaswa kupumzika.
Wakati unaohitaji kupumzika unashindwa kumpumzika vizuri —mawazo yako yanapambana na hatia ya kutokufanya kazi ambazo ulipaswa kuzifanya.
Ukifanikiwa kumtenganisha mtu na msimamo wake, unaweza kupinga vikali msimamo wake na bado ukamheshimu kama rafiki, ukastahi utu wake na kulinda uhuru wake wa kuamua na kusimamia anachokiamini.
✅️✅️Hawa wanaopinga mawazo yako hivi sasa, hawa hawa wasioona hoja kwenye hicho unachojaribu kukisema, wanaweza kukuunga mkono na kutetea hoja hizo hizo ukiwa kwenye nafasi inayokupa hadhi na heshima zaidi.
✔️✔️✔️Hawa wanaopinga mawazo yako hivi sasa, hawa hawa wasioona hoja kwenye hicho unachojaribu kukisema, wanaweza kukuunga mkono na kutetea hoja hizo hizo ukiwa kwenye nafasi inayokupa hadhi na heshima zaidi.
👍👍👍Hawa wanaopinga mawazo yako hivi sasa, hawa hawa wasioona hoja kwenye hicho unachojaribu kukisema, wanaweza kukuunga mkono na kutetea hoja hizo hizo ukiwa kwenye nafasi inayokupa hadhi na heshima zaidi.