Jifunze kuishi na marafiki, usijiachie kwa kila jambo lako,ishi nao kwa uangalifu, rafiki akigeuka adui uwa adui hatari sana, kwasababu anajua kila kitu chako, atatumia nafasi hiyo kukuangamiza,muamini rafiki yako lakini jiandae kwa mapambano dhidi yake , tuishi kwa tahadhari
Jifunze kuishi na marafiki, usijiachie kwa kila jambo lako,ishi nao kwa uangalifu, rafiki akigeuka adui uwa adui hatari sana, kwasababu anajua kila kitu chako, atatumia nafasi hiyo kukuangamiza,muamini rafiki yako lakini jiandae kwa mapambano dhidi yake , tuishi kwa tahadhari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.