Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Penda sana kutumia neno TUMEFANYA, husudu neno TUMESHINDA, usikimbilie kusema neno TUMEPOTEZA kama hujawahi kusema TUMEFANYA, popote tanguliza wingi, jiweke nyuma ama kaeni mbele nyote kwa pamoja, mwisho wa siku mtafanya kwa wakati wenu na kuondoka zenu