Uzi maalum wa kupeana mawazo ya biashara

Uzi maalum wa kupeana mawazo ya biashara

Nadhani uzi nimzuri. Hapa kuna biashara ya msimu na biashara ambayo ungependa baada ya miaka 3 hadi 5 uko financially stable. Hii ndio nitatolea wazo.

Kuna kilimo cha parachichi kwaajili ya masoko ya nje. Mnaungana kwenye group la watu kama 10 ili muwekeze angalau akari 50 hadi 100. Mna-outsource kazi zote na kampuni then baada ya miaka 3 mnaanza kupata kipato. At year 6, kama mmewekeza eka 100 kwa watu 10, kila mtu anauwezo wa kupata kati ya milion 50 -70 kwa mwaka bila kuhabgaika management na marketing issues. Kwamaelezo zaidi ni PM
[emoji121]
MIRADI YA UPIGAJI!!!
[emoji377] [emoji124] [emoji469] [emoji377] [emoji124] [emoji469] [emoji377] [emoji124] [emoji469]
 
Fursa zipo sana .

Wakati huu Wa masika maisha ya watu yanakuwa magumu sana hasa kifedha , kuna ile mikoa inazalisha mahindi , unaingia bush moja na kilo 5 yako unawakopesha hela ili wakulipe mahindi baada ya mavuno ya mahindi , .. Mfano kuna sehemu moja watu wapo tayari kukopeshwa Tsh 20,000/= ili walipe gunia moja LA mahindi mwezi Wa 7 ... So chukua laki5 gawa kwa elfu 20 utakuwa na magunia ya mahindi 25


Kwa mwaka huu bei ya mahindi kwa gunia hapo hapo kijijini ilifika elfu 45 kwa gunia. Na hiyo bei ilikuwa wakati wanavuna mwezi Wa 8,9 hadi October. so ukichukua elfu 45 zidisha kwa gunia 25 unapata Tsh 1,125,000/= hapo mzigo umeuzia hukohuko bush hujaangalia masoko ya mbele...

Pia kuna ishu ya mbolea , yani ukiwa na mtaji wako Wa kueleweka kama M1 nakuendelea unanua mbolea hafu unawakopesha wakulima , mfuko mmoja Wa mbolea utapewa gunia 2.5 wakishavuna. So chukulia ukinunua mifuko ya mbolea (UREA) Mifuko 25 kila mfuko elfu 41,000 kwa huko bush itakugharimu Tsh 1,025,000/= hapo hutolipia tena usafir maana unanunua hapo hapo bush na kukopesha kwa wakulima. Piga hesabu baada ya mavuno utakuwa na magunia 50 km utakopesha kila mfuko kwa gunia 2 tu za mahindi achana na gunia 2.5 walivyozoea , gunia 50 ukaamua kuuza hapo hapo kijini kwa kila gunia elfu 45 utakuwa na kama Tsh 2,250,000/= hapo hujaangalia masoko mengine ya mahindi,, huu tunaita uwekezaji Wa muda mrefu..
Mkuu nina mtaji mzuri tu asee, kama upo tayari njoo PM tuyajenge.
 
Kwa ushauri wa biashara na usimamizi. Business plan na yahusuyo business.
Msiwe na tabu ni follow instagram @dr_allyj
LinkedIn. ALLY JUMA
Whatsap 0658576708.
Gharama ni nafuu tu.
 
ni kweli mkuu,lakini sio biashara zote zinahitaji uanze na elf 50,au toeni ideas ambazo mtaji huu unaweza kufanya biashara gani????
Hali imekuwa ngumu sana anza hata na elfu ishirini,mm nilianza na elfu 50,nikawa nafunga ice cream za 100 na juice za 500 nawapa vijana wanatembeza amini hukosi hela nilianza na wa3 kila mtu anauza na faida tunagawana kati kati na kila siku kila mtu faida inaanzia 10000 biashara ikiwa si nzr so mkigawana ww unalamba 5000x3=15000
15000x30 kidogo inaingia huku na ww ukiwa unaendelea kupigana upande mwingine vitu natengeneza mwenyewe jioni nikitoka job tusidharau biashara ndogo ndogo zinaweza kukutoa kimaisha kabisa,sasa natafuta wengine wawe wanauza mashuleni kwani nimeshaanza kufuatilia taratibu za kuingia kuuza mashuleni
 
Hali imekuwa ngumu sana anza hata na elfu ishirini,mm nilianza na elfu 50,nikawa nafunga ice cream za 100 na juice za 500 nawapa vijana wanatembeza amini hukosi hela nianza na wa3 kila mtu anauza na faida tunagawana kati kati na kila siku kila mtu faida inaanzia 10000 biashara ikiwa si nzr so mkigawana ww unalamba 5000x3=15000
15000x30 kidogo inaingia huku na ww ukiwa unaendelea kupigana upende mwingine vitu natengeneza mwenyewe jioni nikitoka job tusidharau biashara ndogo ndogo zinaweza kukutoa kimaisha kabisa,sasa natafuta wengine wawe wanauza mashuleni kwani nimeshaanza kufuatilia taratibu za kuingia kuuza mashuleni
Kabisa mkuu

# Inspired
 
Hali imekuwa ngumu sana anza hata na elfu ishirini,mm nilianza na elfu 50,nikawa nafunga ice cream za 100 na juice za 500 nawapa vijana wanatembeza amini hukosi hela nianza na wa3 kila mtu anauza na faida tunagawana kati kati na kila siku kila mtu faida inaanzia 10000 biashara ikiwa si nzr so mkigawana ww unalamba 5000x3=15000
15000x30 kidogo inaingia huku na ww ukiwa unaendelea kupigana upende mwingine vitu natengeneza mwenyewe jioni nikitoka job tusidharau biashara ndogo ndogo zinaweza kukutoa kimaisha kabisa,sasa natafuta wengine wawe wanauza mashuleni kwani nimeshaanza kufuatilia taratibu za kuingia kuuza mashuleni

hongera mkuu,niungishe,😛🙂
 
wazee m nahtaj mfano wa buznes plan wakuu
Zipo templates mbalimbali za buznec plan coz hakuna specific format ya kuandaa buznec plan.(google mtandaon kam hutojali).

ILA
Kama ulimaanisha mtu akutengenezee it needs some talks and details of information to write buznec plan in solid way.{some how t needs energy invstment n time}
Priceless soul ,he is expert for this too.
 
Fursa zipo sana .

Wakati huu Wa masika maisha ya watu yanakuwa magumu sana hasa kifedha , kuna ile mikoa inazalisha mahindi , unaingia bush moja na kilo 5 yako unawakopesha hela ili wakulipe mahindi baada ya mavuno ya mahindi , .. Mfano kuna sehemu moja watu wapo tayari kukopeshwa Tsh 20,000/= ili walipe gunia moja LA mahindi mwezi Wa 7 ... So chukua laki5 gawa kwa elfu 20 utakuwa na magunia ya mahindi 25


Kwa mwaka huu bei ya mahindi kwa gunia hapo hapo kijijini ilifika elfu 45 kwa gunia. Na hiyo bei ilikuwa wakati wanavuna mwezi Wa 8,9 hadi October. so ukichukua elfu 45 zidisha kwa gunia 25 unapata Tsh 1,125,000/= hapo mzigo umeuzia hukohuko bush hujaangalia masoko ya mbele...

Pia kuna ishu ya mbolea , yani ukiwa na mtaji wako Wa kueleweka kama M1 nakuendelea unanua mbolea hafu unawakopesha wakulima , mfuko mmoja Wa mbolea utapewa gunia 2.5 wakishavuna. So chukulia ukinunua mifuko ya mbolea (UREA) Mifuko 25 kila mfuko elfu 41,000 kwa huko bush itakugharimu Tsh 1,025,000/= hapo hutolipia tena usafir maana unanunua hapo hapo bush na kukopesha kwa wakulima. Piga hesabu baada ya mavuno utakuwa na magunia 50 km utakopesha kila mfuko kwa gunia 2 tu za mahindi achana na gunia 2.5 walivyozoea , gunia 50 ukaamua kuuza hapo hapo kijini kwa kila gunia elfu 45 utakuwa na kama Tsh 2,250,000/= hapo hujaangalia masoko mengine ya mahindi,, huu tunaita uwekezaji Wa muda mrefu..
Mawazo mazuri sana huu mfumo upo baadhi ya nchi umerasimishwa unaitwa farm sponsorship, ni wapi huko wanakopesheka, unafanyeje ili warudishe wakivuna?
 
Mawazo mazuri sana huu mfumo upo baadhi ya nchi umerasimishwa unaitwa farm sponsorship, ni wapi huko wanakopesheka, unafanyeje ili warudishe wakivuna?
Mikoa ya nyanda za juu kusin , hasa vijijini kama ruvuma , rukwa ,
 
Back
Top Bottom