FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Ushindwe na ulegeeMarehemu anaaga rasmi...
ππππππππ, ipo sikuLabda kama ubingwa utakuwa unazunguka/kwa zamu.
Kati ya CCM kutoka madarakani na Tz kushinda kombe la dunia, ipi ni ngumu zaidi kutokea?Labda ccm itoke madarakani kwanza.
Swali gumu hiliKati ya CCM kutoka madarakani na Tz kushinda kombe la dunia, ipi ni ngumu zaidi kutokea?
Dah! Hii ni ngumu kumeza aisee.Kati ya CCM kutoka madarakani na Tz kushinda kombe la dunia, ipi ni ngumu zaidi kutokea?
Hahahah, ipo siku, hata kama ni mwaka 7500 ππAmka mkuu ndoto zingne utastukia umejinyea
HahaaHahahah, ipo siku, hata kama ni mwaka 7500 ππ