Uzi maalum wa kutupia biashara yoyote ya kijasiriamali unayofanya au uliwahi kufanya

jijayetu

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2016
Posts
727
Reaction score
563
Wasaalam.

Wakuu kama mada tajwa hapo juu,

Naomba kila mtu mwenye biashara ya ujasiriamali ambayo amewahi kufanya au pengine mpaka sasa anafanya. Dhumuni la uzi ili kila mtu apate mbinu mbadala za kukaribiana na hali ya sasa.

Wakuu naomba ushirikiano wenu biashara yeyote halali ya kijasiriamali share nasi itatufaa sana.

Asanteni.
 
.....kwa kuongezea, ujasiriamali mara nyingi inakuwa inahusu kubuni kitu/vitu au huduma fulani ambayo itakuingizia pesa,

Biashara ni kununua na kuuza bidhaa.

Sijui kama nimeeleweka kidogo hapa.
asante mkuu kwa kufafanua vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…