Uzi maalum wa kutupia picha yoyote ya Handsome boy

JF bwana,unaweza kuleta jambo ukiwa serious likachukuliwa kwa wepesi sana!
 
mwanaume na ulezi wa watoto Wapi na wapi
kwani kuna ubaya/ugumu gani??........mbona mimi nimemlea mdogo wangu mpendwa wa kike hadi amekuwa mkubwa,tokea akiwa na mwezi mmoja tulipendana sana hadi hataki mama yake amshike,amlishe wala kumpa nyonyo anataka kila kitu nimpe mimi hadi kulala na mama yetu hataki alikuwa analia!!......nimemlisha mimi,kumuogesha,kumfundisha kutembea,kuongea na kulala nae kila siku hadi amekua mkubwa!!
 
Wewe
sema unatafuta basha
Tukusaidie sio polojo ulizo andika hapo"
 
Kumbe basi karibu na hongera
 

Attachments

  • hqdefault.jpg
    19.6 KB · Views: 84
  • butt+implant-3w.jpg
    31.1 KB · Views: 93
  • IMG_20171022_122310_094.JPG
    8.8 KB · Views: 85
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…