Uzi maalum wa kuziombea timu za Tanzania Simba na Yanga, zote zifuzu hatua ya makundi CAF

Hizo zote zipigwe zitoke, timu ya kuiombea ni serengeti girls wale ndio wanawakilisha nchi huo mchanganyiko wa wacongo, warundi uombeeni nyie
 
Ushirikiano gani mnaoutaka enyi mazuzu ilihali mlikuwa mkiwapokea wapinzani wetu pale airport na kuwaambia kuwa tunawapulizia madawa kwenye vyumba vya kubadilishia nguo. Mshakwama sasa mnataka tuwaombee na tuwe na ushirikiano nanyi...hilo haliwezekani abadan pambaneni na hali zenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…