Ukiwa uwanja wa nyumbani angalau unaweza kusema lolote. Ila kwa ndala kwa kweli wacha nikae kimya.Na Yanga mwongelee kwa kumpa matumaini
Siyo kweli.Tunawafunda.Wawe na adabu.Mbona Yanga mnaishambulia Sana ?
Uzalendo alikufa nao mwl.Nyerere mkuu.Tuwe wazalendo
Utopolo tuwasamehe,maana wakati mwingne akili zao wanazijua wenyeweMimi Simba ila utopolo walishawai kutufanyia unaa mkubwa sana kuwapa ushirikiano wa hali na mali wageni wanaocheza na Simba.
kuwaambia wapinzani wa Simba,"wasile chakula,maji wala juisi,wasiwashe ac hapo hotelini,vyumba vya kubadilishia nguo vya wachezaji wadeki na maji ya moto",,huu sio uungwana kabisa ni kuipaka matope Simba ionekane wameweka Sumu.
Inatia hasira sana mkuu. Huu upumbavu ulivuka mipakaMimi Simba ila utopolo walishawai kutufanyia unaa mkubwa sana kuwapa ushirikiano wa hali na mali wageni wanaocheza na Simba.
kuwaambia wapinzani wa Simba,"wasile chakula,maji wala juisi,wasiwashe ac hapo hotelini,vyumba vya kubadilishia nguo vya wachezaji wadeki na maji ya moto",,huu sio uungwana kabisa ni kuipaka matope Simba ionekane wameweka Sumu.
Tunajua kwamba wenye akili ni wawili pale.Ina maana hata mtihani wa darasa la nne walifeli?Hopelesses Yanga Afulika!😂😂😂😂Utopolo tuwasamehe,maana wakati mwingne akili zao wanazijua wenyewe
Wakwepa kodi hao.Hawalipagi kodi.Vibaka waandamizi.Na wew uvae mkuu, hiv hujui kuwa Yanga akishnda atachangia Pato la taifa kukua ?
Mbona wana manyoya makwapani?Mihuni tu.Tuwasamehe mkuu maana hawakujua walitendalo,na so unajua Utopolo bado Ni watoto Sana Kisoka !!
Unasamehewa aombaye msamahaTuwasamehe mkuu maana hawakujua walitendalo,na si unajua Utopolo bado Ni watoto Sana Kisoka !!
Ukimsamehe mpumbavu ndiyo ataona ni mtindo wa maisha.Wakajicheki.Samehe X70 mkuu
Wakonde tu.Mdaiwa kunenepa ni dharau kwa mdai.Wasamehe bure mkuu,maana Hali yao saiz kiafya sio nzuri