Waminyato
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,197
- 4,525
Mimi Simba ila utopolo walishawai kutufanyia unaa mkubwa sana kuwapa ushirikiano wa hali na mali wageni wanaocheza na Simba.
kuwaambia wapinzani wa Simba,"wasile chakula,maji wala juisi,wasiwashe ac hapo hotelini,vyumba vya kubadilishia nguo vya wachezaji wadeki na maji ya moto",,huu sio uungwana kabisa ni kuipaka matope Simba ionekane wameweka Sumu.
kuwaambia wapinzani wa Simba,"wasile chakula,maji wala juisi,wasiwashe ac hapo hotelini,vyumba vya kubadilishia nguo vya wachezaji wadeki na maji ya moto",,huu sio uungwana kabisa ni kuipaka matope Simba ionekane wameweka Sumu.