HB wa kigogo
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 2,487
- 6,250
Acha tu bora kingekuwa chuma cha mchina kinaweza kuyeyuka hata kwa moto wa mabua sasa hiki nichamjerumani enzi za Hitler[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Sio ya kucheka, vitu vingine vinachekesha mkuu!
Ngoma ngumu mkuu.Acha tu bora kingekuwa chuma cha mchina kinaweza kuyeyuka hata kwa moto wa mabua sasa hiki nichamjerumani enzi za Hitler
Sasa sijui watatumia carbon 14 maana wazee wengine hawajui walizaliwa mwaka gani. Wanacho kumbuka ni matukio kwa mfano nilizaliwa kipindi cha njaa, vita n.k[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Kweli vyuma vimekazwa, waliofoji umri nao. Makazini matumbo joto!
Inawezekana wameadvance wanaenda kufungua viwanda navyoHuku kwetu Watu wanafunga Fremu tu.
Familia nyingi sana zitapata tabu. Ila kuna wazee wamesha ng'oa meno yote na bado tu mamegangamala maofisini.Wanasema wamekuja, kugutuka kwenye vyeti vya Nida, wengine makzini. Walipunguza miaka, wakati wana ajiliwa, kwenye vyeti vya Uraia wamezidisha Umri, sasa hapo ndio wakawastukia!
Mtihani mkubwa huu mkuu!Familia nyingi sana zitapata tabu. Ila kuna wazee wamesha ng'oa meno yote na bado tu mamegangamala maofisini.
Mwaka huu, tutashuhudia mengi mkuu. Kwa hiyo hao mbuzi viongozi wa nn?Huku kwetu ndio zaidi mbuzi wamekuwa viongozi wetu
Acha tu bora kingekuwa chuma cha mchina kinaweza kuyeyuka hata kwa moto wa mabua sasa hiki nichamjerumani enzi za Hitler
Inawezekana wameadvance wanaenda kufungua viwanda navyo
Ndio watawala bado hujawajua subiri utajionea mwenyewe labda kwenu hawajafika ila watafika tuMwaka huu, tutashuhudia mengi mkuu. Kwa hiyo hao mbuzi viongozi wa nn?
Hatari sana!Yaani we acha tu. Huku kwetu ukipishana na Mzee anakusalimia Shikamoo!
Hii safari ni ngumu ila tutafika kwa mbinde mkuu. Yaan sasa hivi kukutana na mtu kapishanisha vifungo vya shati au kavaa viatu rangi tufauti mchukulie poa tu maana wote si vichaa bali ni vyuma vimekaza tena vya mjerumani mkuu.