Uzi maalum wa maisha, halisi huko mtaani kwenu kwa sasa.

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Sio ya kucheka, vitu vingine vinachekesha mkuu!
Acha tu bora kingekuwa chuma cha mchina kinaweza kuyeyuka hata kwa moto wa mabua sasa hiki nichamjerumani enzi za Hitler
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Kweli vyuma vimekazwa, waliofoji umri nao. Makazini matumbo joto!
Sasa sijui watatumia carbon 14 maana wazee wengine hawajui walizaliwa mwaka gani. Wanacho kumbuka ni matukio kwa mfano nilizaliwa kipindi cha njaa, vita n.k
 
Wanasema wamekuja, kugutuka kwenye vyeti vya Nida, wengine makzini. Walipunguza miaka, wakati wana ajiliwa, kwenye vyeti vya Uraia wamezidisha Umri, sasa hapo ndio wakawastukia!
 
Wanasema wamekuja, kugutuka kwenye vyeti vya Nida, wengine makzini. Walipunguza miaka, wakati wana ajiliwa, kwenye vyeti vya Uraia wamezidisha Umri, sasa hapo ndio wakawastukia!
Familia nyingi sana zitapata tabu. Ila kuna wazee wamesha ng'oa meno yote na bado tu mamegangamala maofisini.
 
Huku kwetu zamu za kusafisha choo zimeisha siku hizi watu hatupishani tena msalani kwaajili ya njaa.
 
Huku kwetu, napishana na watu njiani wanaongea peke yao, hata bila ya kuwasemesha!
 
Hii safari ni ngumu ila tutafika kwa mbinde mkuu. Yaan sasa hivi kukutana na mtu kapishanisha vifungo vya shati au kavaa viatu rangi tufauti mchukulie poa tu maana wote si vichaa bali ni vyuma vimekaza tena vya mjerumani mkuu.
Kama hivi, ee mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…