ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
- Thread starter
-
- #21
Kumbe na ww mdau wa kufa wa tamadunNimemiss sana maeneo, nipo chaka Dah hadi nirudi mjini nitakua mwekundu kwa tope
Kwanini hizo picha ume screenshot? tena leo leo kasoro ile ya jagi na ndizi ndio umepiga kwa camera yako?Huu Ni uzi wangu maalumu kwa ajili yangu kupost kila jambo nitakalokuwa nalifanya katika dunia ili kuweka kumbukumbu ya safari ya maisha yangu na jinsi ninavyopokea maelekezo kutoka kwa mwenyeziMungu.chochote nitakachokuwa nakifanya nitakiandika hapa na ikiwezekana nitaweka picha ya tukio,kitu au sehemu nilipo.Ni idea ambayo itaniwezesha sana Mimi kuyatumia maisha yangu vizuri.kama Kuna swali ambalo utapenda kuniuliza nitalijibu kama nitaona inafaa ila kama sitalijibu Basi ujue nimeona halifai.kwa hiyo kifupi lifestyles yangu yote nitakuwa Niki share katika Uzi wangu.
Kwa Mara nyingine nitumie Uzi huu huu kujitambulisha Zaidi kwa kuweka baadhi ya picha zangu lakini nitazi crop View attachment 1095219View attachment 1095220
Unatafuta umaaruf humu ndan kwa nguvu sana
I dont know why my brother ?!
Whats the matter ?!
Diary inaweza kupotea lakini nikiingiza katika mfumo wa Jf nadhani data zitakaa muda mrefu Kama sio milele.lakini diary Ina last mwaka mmoja tu..Kwanini hizo picha ume screenshot? tena leo leo kasoro ile ya jagi na ndizi ndio umepiga kwa camera yako?
Just curious no hard feelings.
Btw, kwanini usinunue diary na kuandika kila kitu chako au uka download kwa simu yako au pc yako?
Nahofia sana watu wanaomtaja taja Mungu kwa kila sentensi. Tumeona mifano mingi miaka hasa kumi na ushee iliyopita.Haikuwa chai
Nilidhamiria kufanya hivyo lakini Kuna wazo nikapata nadhani natakiwa nisahihishe Zaid napokosea Kuliko kuanza upya.kuna mambo yalinisumbua akili lakini kila kitu kipo sawa.hii idea ya Uzi huu imekaa vizuri Ni fursa kwangu ya kurecord kumbukumbu zangu nzuri ili iwe rahisi kujifanyia assessment nafikiria kuzdi kuboresha.nina nafasi nzuri sana huku ninapoishi nataka kuitumia kwa ajili ya kujifunza the universal Truth ili kabla sijafa niwe nimeenda stage ya mbali.shukrani kwa kupokea wazo langu positive siku zote utabaki Kuwa mtu wa MUNGU
Fragaria umeona bananaMda wote maji Ni muhimu bila kujali Kama jua Ni Kali au Kuna mvua.target Ni kunywa maji angalau mpaka ukojoe Zaid ya Mara kumi tena utoke mkojo msafi so tunaendelea na huu utaratibu
Mwalimu wangu kupitia tiba za kigiriki anadai ndizi sio tunda zuri sana linachangia ulcers,heartburn matatizo mengineyo..nimemuuliza apple akasema Ni zuri Zaid kwa nchi zenye baridi.lakini tikitimaji ndio best among fruits kutumika around the globe...anyway kwa Mimi bado kijana naweza kula banana ili nikifikisha miaka 40 itanibidi niwe makini sana na ninachokulaView attachment 1095251
I like the idea...wengine huandika ktk dayari lengo ni lilelile.Huu Ni uzi wangu maalumu kwa ajili yangu kupost kila jambo nitakalokuwa nalifanya katika dunia ili kuweka kumbukumbu ya safari ya maisha yangu na jinsi ninavyopokea maelekezo kutoka kwa mwenyeziMungu.chochote nitakachokuwa nakifanya nitakiandika hapa na ikiwezekana nitaweka picha ya tukio,kitu au sehemu nilipo.Ni idea ambayo itaniwezesha sana Mimi kuyatumia maisha yangu vizuri.kama Kuna swali ambalo utapenda kuniuliza nitalijibu kama nitaona inafaa ila kama sitalijibu Basi ujue nimeona halifai.kwa hiyo kifupi lifestyles yangu yote nitakuwa Niki share katika Uzi wangu.
Kwa Mara nyingine nitumie Uzi huu huu kujitambulisha Zaidi kwa kuweka baadhi ya picha zangu lakini nitazi crop View attachment 1095219View attachment 1095220