Uzi maalum wa Maisha ya ndege JOHN

Uzi maalum wa Maisha ya ndege JOHN

Maisha na mziki
Katika playlist yangu hutamkosa songa,ghetto na kad go namkubali usipime
Nimemiss killinge Cha msasani B Na mwaka Jana freestyle rap battle ya micasa ya Riverside tulifanya kidogo Sanaa hii nimesikia wamehamia micasa ta magengeni sijui Kama kinaendelea nifuatilie asee
Screenshot_20190512-212647.jpeg
hii Ni official hii Ni show nzito..unataka kucheza njoo disco haijalishi unatoka kariakoo or Miko cheni..songa mtata
Screenshot_20190512-212611.jpeg
niliyatafuta ya dunia, Sasa nimeyaacha nautafuta upendo usionitupa right here.....
Screenshot_20190512-212544.jpeg
RIP LEGENDARIES
Screenshot_20190512-212522.jpeg
beat lake zuri na ubunifu wake unanikosha
Screenshot_20190512-212559.jpeg
 
Nimemiss sana maeneo, nipo chaka Dah hadi nirudi mjini nitakua mwekundu kwa tope
 
Screenshot_20190512-213657.jpeg
safari sio kifo haichuji kwenye masikio yangu
Screenshot_20190512-213705.jpeg
Asante mujwahuki
Screenshot_20190512-213716.jpeg
Juliana unajua Uganda nzima na east Africa kwa ujumla sioni mwanamke wa kukufikia
Screenshot_20190512-213710.jpeg
Screenshot_20190512-213722.jpeg
Screenshot_20190512-213729.jpeg
Screenshot_20190512-213738.jpeg
Screenshot_20190512-213751.jpeg
Screenshot_20190512-213759.jpeg
Screenshot_20190512-213809.jpeg
Screenshot_20190512-213814.jpeg
 
Huu Ni uzi wangu maalumu kwa ajili yangu kupost kila jambo nitakalokuwa nalifanya katika dunia ili kuweka kumbukumbu ya safari ya maisha yangu na jinsi ninavyopokea maelekezo kutoka kwa mwenyeziMungu.chochote nitakachokuwa nakifanya nitakiandika hapa na ikiwezekana nitaweka picha ya tukio,kitu au sehemu nilipo.Ni idea ambayo itaniwezesha sana Mimi kuyatumia maisha yangu vizuri.kama Kuna swali ambalo utapenda kuniuliza nitalijibu kama nitaona inafaa ila kama sitalijibu Basi ujue nimeona halifai.kwa hiyo kifupi lifestyles yangu yote nitakuwa Niki share katika Uzi wangu.
Kwa Mara nyingine nitumie Uzi huu huu kujitambulisha Zaidi kwa kuweka baadhi ya picha zangu lakini nitazi crop View attachment 1095219View attachment 1095220
Kwanini hizo picha ume screenshot? tena leo leo kasoro ile ya jagi na ndizi ndio umepiga kwa camera yako?

Just curious no hard feelings.

Btw, kwanini usinunue diary na kuandika kila kitu chako au uka download kwa simu yako au pc yako?
 
Kwanini hizo picha ume screenshot? tena leo leo kasoro ile ya jagi na ndizi ndio umepiga kwa camera yako?

Just curious no hard feelings.

Btw, kwanini usinunue diary na kuandika kila kitu chako au uka download kwa simu yako au pc yako?
Diary inaweza kupotea lakini nikiingiza katika mfumo wa Jf nadhani data zitakaa muda mrefu Kama sio milele.lakini diary Ina last mwaka mmoja tu..
 
Hivi Sasa ni tisa kamili usiku ninazo option tatu ya vitu vya kufanya
-tuanze kwa kuangalia movie
-tufanye yoga poses kidogo angalau dakika 10
-tusome Bible na Kisha vitabu vingine
 
Haikuwa chai
Nilidhamiria kufanya hivyo lakini Kuna wazo nikapata nadhani natakiwa nisahihishe Zaid napokosea Kuliko kuanza upya.kuna mambo yalinisumbua akili lakini kila kitu kipo sawa.hii idea ya Uzi huu imekaa vizuri Ni fursa kwangu ya kurecord kumbukumbu zangu nzuri ili iwe rahisi kujifanyia assessment nafikiria kuzdi kuboresha.nina nafasi nzuri sana huku ninapoishi nataka kuitumia kwa ajili ya kujifunza the universal Truth ili kabla sijafa niwe nimeenda stage ya mbali.shukrani kwa kupokea wazo langu positive siku zote utabaki Kuwa mtu wa MUNGU
Nahofia sana watu wanaomtaja taja Mungu kwa kila sentensi. Tumeona mifano mingi miaka hasa kumi na ushee iliyopita.
Wahenga hatukuzoea kusikia kila kitu kinaanza na shukrani kwa Mungu maana yeye ni wako tu. Mara nyingi nyinyi ni attention seeker if not ni wale msiojulikana.
 
Mda wote maji Ni muhimu bila kujali Kama jua Ni Kali au Kuna mvua.target Ni kunywa maji angalau mpaka ukojoe Zaid ya Mara kumi tena utoke mkojo msafi so tunaendelea na huu utaratibu
Mwalimu wangu kupitia tiba za kigiriki anadai ndizi sio tunda zuri sana linachangia ulcers,heartburn matatizo mengineyo..nimemuuliza apple akasema Ni zuri Zaid kwa nchi zenye baridi.lakini tikitimaji ndio best among fruits kutumika around the globe...anyway kwa Mimi bado kijana naweza kula banana ili nikifikisha miaka 40 itanibidi niwe makini sana na ninachokulaView attachment 1095251
Fragaria umeona banana

Rule no.1.........?
 
Hivi sasa Ni saa 12 asubuhi.baada ya kupata kikombe Cha maziwa inatosha kabisa kufanya asubuhi iende vizuri ila saa nne itabidi nile kitu.mimi nafikiria kiumbe yoyote ili a survive anatakiwa acheze ndani ya boundaries zake ndo maana tunapinga kwa nguvu zote matumizi ya pombe,sigara na bangi kwa sababu yote haya siyo mahitaji muhimu kwa afya zetu.ecology haitaki tutumie hivi vitu.ndo maana tunaongeza umakini katika kutumia vyakula Bora nakuacha mambo yote yaletayo matatizo
 
Kuhusu kufunga
Mimi naamini Kama kufunga Ni ibada Basi ni ibada ndogo sana.nachofikiri mwanadamu anatakiwa asifunge Bali ibada kubwa na njema Ni yeye kula chakula sahihi.kwa sababu hata maskini anaweza kufunga kumbe sababu Ni kukosa chakula yaani hana pesa ya kununua chakula so anaamua kufunga.mimi nafikiria Sasa hivi Kuwa tunapaswa tule chakula sahihi Hilo ndilo Jambo la muhimu zaidi.dunia nzima tunasomesha wataalam wa lishe kwa sababu tunathamini umuhimu wa lishe Bora so Mimi sipendelei kufunga isipokuwa najihamasisha Nile chakula changu sahihi na kwa kiasi kidogo.
 
Huu Ni uzi wangu maalumu kwa ajili yangu kupost kila jambo nitakalokuwa nalifanya katika dunia ili kuweka kumbukumbu ya safari ya maisha yangu na jinsi ninavyopokea maelekezo kutoka kwa mwenyeziMungu.chochote nitakachokuwa nakifanya nitakiandika hapa na ikiwezekana nitaweka picha ya tukio,kitu au sehemu nilipo.Ni idea ambayo itaniwezesha sana Mimi kuyatumia maisha yangu vizuri.kama Kuna swali ambalo utapenda kuniuliza nitalijibu kama nitaona inafaa ila kama sitalijibu Basi ujue nimeona halifai.kwa hiyo kifupi lifestyles yangu yote nitakuwa Niki share katika Uzi wangu.
Kwa Mara nyingine nitumie Uzi huu huu kujitambulisha Zaidi kwa kuweka baadhi ya picha zangu lakini nitazi crop View attachment 1095219View attachment 1095220
I like the idea...wengine huandika ktk dayari lengo ni lilelile.
 
Back
Top Bottom