Hili silifahamu kwa kweli,ngoja na mimi nisubirie majibu ya wanaojua...Wadau habarini za mida hii,
Leo nilikuwa kwenye mchakato wa kulipia mapato ya biashara yangu TRA ila nilipofika kwenye ofisi zao nikaambiwa napaswa kuhamisha TIN yangu kutoka nilipoikatia (mkoa tofauti na nilipo) kuleta mkoa nilipo ndipo niweze kulipia mapato...Naombeni uzoefu kwa yeyote ambaye alishafanya hii, utaratibu wa kuhamisha ukoje?....
Asanteni
Hapo cha kufanya ni kuandika barua kwa meneja wa tra/mkoa au wilaya sehemu ulipofungulia hilo file, ziwe mbili hata ukimpata mtu anayekwenda mwanza unampatiaa anazipeleka zitagongwa mhuri moja itabakia huko nyingine watampatia, unakuwa umemaliza baada kama ya wiki moja file litahamishiwasehemu uliyoitaka. Lakini kwa simu utakesha.Mimi nilishakuwaga na tatizo kama ilo. Mpaka leo sijajua hatima yangu, mwaka 2012 nilifungua TIN ya bihashara pale Mwanza. Lakini mlolongo wa kupata Leseni ya bihashara ikawa ngumu nenda uku rudi uku mpaka nikashindwa kupata Leseni ya bihashara. Sasa mwaka 2013 nimerudi zangu home DSM. Wakati zoezi la kubadilisha wote wenye Leseni za gari kuwa na izi za electronics wakasema uwe na TIN Number. Kwenda Samora pale Posta (DSM) wakaniambia tayari TIN Number unayo nikachukua Leseni ya Gari. Mwaka 2016 nikabadilisha leseni kama kawaida lakini mwisho wa mwaka 2016 likaja zoezi la kufanya update za TIN Number zote apa Tanzania. Sasa naenda pale Kimara Baruti kufanya update ya Tin number, wakaniambia faili lako la Tin number lipo Mwanza wakanipa namba piga uku na uko sikufanikiwa kuamisha ilo faili la Tin number kutoka Mwanza kuja Mkoa wa Ubungo wa ktk TIN Number. Sasa apo uwa najiuliza TRA, uwa ufanyaji wao upoje kwa mikoa ya TRA. Maana ilishindukana mpaka leo sijapata muda wa kurudi pale Mwanza Tanzania kwa ajili ya kuamishia pale Kimara DSM. Na wenyewe walikuwa wananiambia piga simu lakini hakukua na response yoyote kutoka TRA Mwanza mpaka wakawa wanasema nisafiri mpak Mwanza kwa ajili ya kubadilisha iyo Tin number kuileta apo Kimara DSM
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Ni kwamba ulikua na biashara huo mkpa ukahamisha ama ulikata tin kwa matumizi ya leseni etc?Wadau habarini za mida hii,
Leo nilikuwa kwenye mchakato wa kulipia mapato ya biashara yangu TRA ila nilipofika kwenye ofisi zao nikaambiwa napaswa kuhamisha TIN yangu kutoka nilipoikatia (mkoa tofauti na nilipo) kuleta mkoa nilipo ndipo niweze kulipia mapato...Naombeni uzoefu kwa yeyote ambaye alishafanya hii, utaratibu wa kuhamisha ukoje?....
Asanteni
2. MalipoNimeenda TRA tena leo asubuhi wataalamu kuufanyia kazi ushauri wenu na nikapewa barua ya kuhamisha TIN kutoka mkoa niliokuwepo, mimeijaza nikaambiwa by jumatatu utaratibu utakuwa umekamilika; Nimeandika namba yangu pale wamesema nitapewa ujumbe. Nitawapa mrejesho wiki ijayo....
Ila nimeambiwa siwezi kulipia mapato mpaka TIN itakapohamishwa... Hapo kwenye ushauri namba 2 mtaalamu nipe maelezo zaidi tafadhali nifahamu channel ya kupitia
Usisahau kwenda na ile Tax Liability Statement uliyopewa mwezi wa kwanza ulipoenda kukadiriwa kwa sbb ya debt noNitaleta Mrejesho mtaalamu
Yani umeshindwa kuwaambia wakusaidie kukupa muongozo unakuja kutusumbua huku. Aya Njoo nikueelekeze ila utafidia muda wanguWadau habarini za mida hii,
Leo nilikuwa kwenye mchakato wa kulipia mapato ya biashara yangu TRA ila nilipofika kwenye ofisi zao nikaambiwa napaswa kuhamisha TIN yangu kutoka nilipoikatia (mkoa tofauti na nilipo) kuleta mkoa nilipo ndipo niweze kulipia mapato...Naombeni uzoefu kwa yeyote ambaye alishafanya hii, utaratibu wa kuhamisha ukoje?....
Asanteni
Wadau habarini za mida hii,
Leo nilikuwa kwenye mchakato wa kulipia mapato ya biashara yangu TRA ila nilipofika kwenye ofisi zao nikaambiwa napaswa kuhamisha TIN yangu kutoka nilipoikatia (mkoa tofauti na nilipo) kuleta mkoa nilipo ndipo niweze kulipia mapato...Naombeni uzoefu kwa yeyote ambaye alishafanya hii, utaratibu wa kuhamisha ukoje?....
Asanteni
Mimi nawewe mchawi nani kwa comment yako hiyo?Imekuuuuuuma mwenyewe..., jinyonge basi, uchawi mwingine bhanaa...
Kwa nini usiende kituo chochote cha TRA ukawaripoti, humu hatutaki ushakunaku.Snitches get stitches!