Uzi Maalum wa maswali na masuala mbalimbali yahusuyo Kodi, ushuru na masuala mengine yanayowahusu TRA


Kwa hiyo bei ya laki 5 hata kisado cha nyanya kwa sasa hupati mkuu...wewe ndiye ulivuruga mnada
 
Hizo ni clerical error bro wala usikomae sana....
Hiyo ni 5.7...sio 57milioni
 
Hapana. Atafungiwa asishiriki mnada tu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hii vid inayoendelea kusambaa mitandaoni ni aibu kwa taifa letu


Tunaomba mh kamishna mkuu tra/waziri simba chawene muingilie kati

Kijana akwiline marandu ametapeliwa lori lake ..mhalifu huyo amendda pale kinondoni akaonyesha kadi feki ya gari kadi feki ya nida

Ajabu huyu dada ndie anasemwa kushiriki tukio hili la uhamisho.....

Baada ya kushtuka akaenda pale kinondoni akatoa kadi halisi ya gari na na id yake origin ya nida

Kadi iliopo tra kinondon inasoma amepta kadi ya nida may mwakajana wakati origin amepta kadi nov..

Pamoja nanhaya yote manager wa tra alikiri wameingizwa chaka na akamwomba huyu bw marandu aende watampigia na wataifanyia kazi kwa ku cancel docs zote
Ajabu huyu.mwizi amelipia mpaka tra transfer aisee


Hili jambo alikufanyika.mpaka sasa.mh waziri simba chawene hii n uhalifu tunaomba msaada wapolisi kusimamia hili jambo

Inavyoonekana anasema.ameshafungua kesi osterbayamepewa askari anaitwa rehema wakataka 150'000 wakamkamate mhalifu badae akasema atawapa
Wakampigia keshoyake wamegoma wanataka laki nne 400'000 polisi husika

Dah hii inaumiza sana huku umepigwa bado unatakiwa kutoa hela zote hizi

Mh kamishna mkuu wakati muafaka tusafishe hao watu wanaoshirikiana na wahalifu tra

Binafsi napeleka vid kwa wah wangu kadhaa itamfikia soon mh g simba chawene ...

Jamboo hili tukilipuuzia litatujia na sisi unashangaa uko mataa ubungo unaambiwa toka nje ya gariyako kumbe wameshabadili.kadi zamani

Naamini itakuwa fundishoo kw a wahuni wotee waliohusikae
 

Attachments

  • Screenshot_20200226-150155.png
    216.4 KB · Views: 4
  • Screenshot_20200226-150303.png
    159.1 KB · Views: 4
  • Screenshot_20200226-145221.png
    156.5 KB · Views: 4
  • Screenshot_20200226-145539.png
    149.2 KB · Views: 3
Usipende kumlaumu mtu pasipokujua mazingira yake ya kazi yakoje!! Tatizo mifumo ya serikali mingi haingiliani, Kadi ya NIDA mtu wa TRA hawezi kuverify kama ni Og, kama watu wanatengeneza vyeti feki vya Academics na vinakubaliwa katika mamlaka za umma ndo ujue kuwa watu ni wajanja sana
 
Basi na TRA KADI NALO N SHIDA MKUU
BASI TUKO KATIKA HALI.MBAYA KAMA.ATUWEZI JUA KADI YA TRA N FEKI.AMA.ORIGIN
 
Mkuu nakupa pole kwanza, lakini huu mwandiko niwe mkweli tu sijaelewa zaidi ya kuhisia tu kuwa kuna gari limeibiwa na mwenye mali alipoenda polis wamemtaka rushwa, kwa TRA nimetoka kapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wachagga kwa utapeli hamjambo kabisa
Wamekutanaa awenyewe kw a wenyeewee ukisikia VID JAMAA katajaa lyimo marandu MOSHA WANATAKA kumpigaa kwikwi ashukuruu molaaa ajakutanaa na kina MASSAWE..MOSHI/LYERUU NK WE ANGEZAA MAPACHA
 
Mkuu nakupa pole kwanza, lakini huu mwandiko niwe mkweli tu sijaelewa zaidi ya kuhisia tu kuwa kuna gari limeibiwa na mwenye mali alipoenda polis wamemtaka rushwa, kwa TRA nimetoka kapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa mpwaaa umehisii kituulichpkiona uwiii hayooumeyapatwapiisaaaa kwikwi
 
Basi na TRA KADI NALO N SHIDA MKUU
BASI TUKO KATIKA HALI.MBAYA KAMA.ATUWEZI JUA KADI YA TRA N FEKI.AMA.ORIGIN
Unaweza ukakuta Mashine za Barcorde scanner zipo chache sana katika maofisi ya Umma haswa TRA hapo ni Dar kwenye uso wa nchi je mikoani huko hali ikoje
 
Unaweza ukakuta Mashine za Barcorde scanner zipo chache sana katika maofisi ya Umma haswa TRA hapo ni Dar kwenye uso wa nchi je mikoani huko hali ikoje
Babaaaaa swalii languu kuuuu kwa Dada rose

Hivi anawezakwenda MTU akapeleka docs amenunua GARI kwamtu BILA.kuwasiliana nae ama.KUMWONA
Pili tra imejiandaae kuhakikisha WANANCHI wakosalama na MAGARI YAO kama MTU anaweza peleka docs za tra fake na WALA accept
Tunakazi kubwaa sana mbelee
Wachaa hilijamboo liwashe moto tupate somo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…