Precious Diamond
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 593
- 1,376
Wakuu,
Wabunge wameshaanza maigizo na mazingaombwe kuelekea uchaguzi mkuu 2025, wengine wanapanda baskeli, wengine wanaenda kula kwa mama ntilie, wengine wanapaki viete na kuingia na maguta, wengine wanakuwa majinjia ghala na kuanza kuendesha mitambo.
Yaani ni hekaheka, patashika nguo kuchanyika.
Tupia vimbwanga vyao hapa tupate risiti Uchaguzi Mkuu ukifika.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Kabla ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Novemba 27
Baada ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Novemba 27, 2024
===
Ahadi za kununua vitu, kukabidhi vitu katika makundi mbalimbali na kutoa zawadi/Rushwa
JANUARI
FEBRUARI
Wananchi/wanasiasa/kada nyingine kujipendekeza kwa Rais
MWAKA 2025
JANUARI
FEBRUARI
Kujichanganya na wananchi wa hali ya chini/kushiriki katika shughuli mbalimbali za wananchi
Januari
Februari
Siasa na matamko sehemu za dini pamoja na matamko ya viongozi wa dini (kanisani na misikitini na shughuli za kidini kwa ujumla)
2025
JANUARI
FEBRUARI
=====
Mengineyo
JANUARI
Kingwangalla akipata futari ya afmbilii miatano (2500) kwa mama ntilie maeneo ya Mikumi
Wabunge wameshaanza maigizo na mazingaombwe kuelekea uchaguzi mkuu 2025, wengine wanapanda baskeli, wengine wanaenda kula kwa mama ntilie, wengine wanapaki viete na kuingia na maguta, wengine wanakuwa majinjia ghala na kuanza kuendesha mitambo.
Yaani ni hekaheka, patashika nguo kuchanyika.
Tupia vimbwanga vyao hapa tupate risiti Uchaguzi Mkuu ukifika.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Kabla ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Novemba 27
- Singida: Mwigulu apanga foleni kupiga kura. Maigizo yanaendelea
- Kampeni ya Usafi Arusha: Makonda aingia mtaani kushiriki usafi kwa kuzoa taka na kudeki barabara
- Gambo atoa Milioni 2 kulipia kodi ya chama cha bodaboda, awanunulia pia TV wafuatilie matukio duniani
- Naibu Waziri Daniel Sillo Akabidhi Magunia 10 ya Mahindi kwa Wahanga wa Mafuriko Manyara
Baada ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Novemba 27, 2024
- Askofu Mstaafu Peter Konki: Vyama vya Upinzani vyatakiwa kuendelea Kujipanga kuongeza Ushindani
- Askofu Ruwa'ichi: Hatuwezi kukaa kimya wakati tunapitia vipindi vigumu, ni jukumu letu kutoa matamko
- Khadija Mwanamboka aipeleka Samia Fashion Festival Zanzibar, kufanyika Novemba 30, 2024
- Idris Sultan: Madereva wote wa Serikali wavae Samia Suit. Mnavaa suti za Kaunda wakati hamumjui, Samia mnamjua
- Zahoro Matelephone ni nani mpaka RC Mwanza ameenda kuzindua kiduka chake cha simu?
- Waangalizi Uchaguzi TPCF: Sheria na Kanuni zilizingatiwa kipindi chote cha Uchaguzi Serikali za Mitaa
- Balozi Mjenga apongeza zoezi la Uchaguzi kuendeshwa kwa Amani
===
Ahadi za kununua vitu, kukabidhi vitu katika makundi mbalimbali na kutoa zawadi/Rushwa
- Mbunge Samizi amuunga mkono Rais Samia kwa kugawa majiko ya gesi 400. Wananchi wamchukulia fomu
- Makonda: Harusi yoyote itakayofungiwa Arusha Serikali ya mkoa italipia ukumbi
- Mbunge Condester Sichalwe Anunua "Division One" kwa 100,000 na Alama "A" kwa 10,000
- Mbunge Festo Sanga akimuonesha fundi ujuzi wake wa kupangilia tofali katika ukaguzi wa ujenzi wa Kituo cha Afya Makete
- Ziara ya Ndumbaro jimboni yaacha alama kwa wananchi
- Alipanda mpaka mnara lakini wapi! Unafikiri anaandaliwa kwa cheo kingine au ndiyo imetoka hiyo?
- Mbunge Samizi atembelea Gereza la Nyamisivyi Kibondo kuwaona wafungwa, atoa msaada wa sabuni na mifuko 100 ya simenti
- Mpina apokelewa na jeshi la akiba Sakasaka, aahidi kupeleka drip 500 na mifuko 100 ya simenti
- Ukonga-Dar: Jerry Silaa agawa majiko ya gesi kwa mama lishe na kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia kulinda mazingira
- Mwana FA Aahidi Kuboresha Miundombinu kwa Watoto Wenye Mahitaji Maalum Muheza
- Mbunge Samizi agawa mitungi ya gesi 200 kwa Mama na Baba lishe 200 Muhambwe, ahamasisha ushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa
- Mbunge Hamis Taletale Atimiza Ahadi: Aondoa Changamoto ya Maji Chumvi Katika Vijiji vya Mgude na Ngerengere
- Kuelekea uchaguzi 2025, Mwigulu Nchemba ashiriki hafla ya kugawa mitungi ya gesi
- Mbunge Tarimo Akabidhi Pikipiki Nne kwa Jeshi la Polisi
- Kuelekea 2025 - Abood ahaidi Tsh. Mil. 15,000,000/- zahanati kata Magadu
- Mbunge Ester Midimu Atoa Baiskeli 400 na Majiko ya Gesi 400 kwa Viongozi UWT Mkoa wa Simiyu
- Tafakuri: Haya Majiko ya Gesi wanayogawa Wabunge kila kona yanatoka wapi?
- Harambee ya Mbunge Yafanikisha Upauaji wa Madarasa ya Shule Shikizi Kiunda ya Musoma Vijijini
- Makonda: Siasa imemlipa Mbowe kajenga kasri
- Makonda ampigia simu Waziri Silaa, amtaka akatatue migogoro ya ardhi Bunju
- Makonda kutoa Katapila 20 kusaidia kurekebisha barabara za Jimbo la Kawe
- Paul Makonda: Tumechoka na ahadi za treni za umeme
- Mwenezi Makonda ampatia tsh milioni 2 kijana mjasiriamali mwenye kujiendeleza kibiashara
- Mwenyekiti CCM Mkoa wa Tanga Achangia Milioni 10 Ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Mwembeni
- Rais Samia ampa Sheikh wa Arusha Land Rover Discovery limsaidie kwenye shughuli za kidini. Hii si Rushwa kabisa?
- Rais Samia Achangia Milioni 100 katika Ujenzi wa Kanisa la AICT
- Rais Samia achangia shilingi milioni 50, ujenzi wa shule ya Msingi na ujenzi wa majengo ya Zahanati inayomilikiwa na Bakwata Simiyu
- Dodoma: Wazazi Wamshukuru Mbunge Mavunde kwa Ujenzi wa Uzio Shule ya Msingi Uhuru
- Kindononi: Mbunge Abbas akabidhi feni kwaajili ya ukumbi wa mikutano, agharamia na ufungaji wa feni hizo
- Rais Samia “amzawadia” Millioni 10 Askofu Ruwa’ichi Kwa kutambua mchango wake kwa Kanisa na Taifa
- Naibu Waziri Daniel Sillo Akabidhi Maguni 10 ya Mahindi kwa Wahanga wa Mafuriko Manyara
- Mbunge Abbas akabidhi pikipiki kwa vijana Golan itumike kama kitega uchumi
- Tanga: Mwenyekiti CCM akabidhi vishkwambi kwa Madaktari Hospitali ya Wilaya Pangani ili kuwarahisishia kazi zao
- Rais Samia atoa ambulance kituo cha afya, Lukuvi aikabidhi. Ni mwendo wa kujifanya mwema tu kipindi hiki!
- Mbunge Cherehani akabidhi baiskeli kwa wakulima 40 ziwasaidie kufatilia mwendo uzalishaji pamba msimu wa 2024/2025. Rushwa inazidi kutamalaki!
- Mwigulu aahidi kuwahudumia watoto wawili wa aliyekuwa Mtumishi wa TRA
- Mbunge Santiel Kirumba: Kila laini ikatwe Tsh. 50 tujenge barabara
- Waziri Shaaban Othman ampa kijana wa kundi maalum Tsh. Milioni 1 na kiti mwendo ili aweze kujikimu kimaisha
- Mbunge Stephen Byabato awakutanisha Watoto yatima 200 Bukoba kwa Tamasha la Sadaka na Shukrani
- Mrisho Gambo asaidia Bodaboda Arusha kwa kiasi cha Milioni 1.2 kuboresha Usalama na Utalii
- Rais Samia atoa milioni 10 kwa Boda boda Arusha
- Dkt. Damas Ndumbaro agawa Mitungi ya Gesi 150 Songea Mjini, Wanawake wamshukuru sana
- TAKUKURU hamuoni hizi Rushwa: Rais Samia achangia milioni 35, Mbunge na Mkuu wa Mkoa Songwe waongeza Milioni 11.5
JANUARI
FEBRUARI
- Rais Samia ampigia simu Kuhani Mussa na kumuahidi mchango wa Tsh. Milioni 100 ujenzi wa kanisa!
- Dkt. Nchimbi achangisha Tsh. Bilioni 1.7 ujenzi Ofisi ya CCM mkoa wa Singida
- DC Muheza akabidhi Pikipiki 10 kwa UVCCM Tanga, ahamasisha Ushindi wa CCM
- Picha ya Samia kwenye mitungi ya gesi ni ya nini? Haya ndio mambo CHADEMA wanapinga. Msimamizi wa vyama vya siasa yupo kama kipofu na kiziwi
- Meya wa Mpanda atimiza ahadi, awakabidhi Baiskeli 20 Makatibu wa Matawi
- Mwenyekiti CCM Iringa Vijijini atoa mitungi ya gesi 143 pamoja na viti 15 na meza Mbili katika kata ya Nyangolo, Malengamakali
- Ridhiwani Kikwete atoa aina 25 ya vifaa kwa wenye ulemavu, asema serikali inaendelea kuboresha elimu kwa makundi yote
- Mbunge wa Covid 19 Jessica Kishoa: Wanawake wote wa nchi hii tunamuunga mkono Rais. Vyombo vya ulinzi visicheke na yeyote atakayevuruga amani
- Musoma: DC Juma Chikoka aendelea na ziara ya "Mguu kwa Mguu" kusikiliza kero za wananchi
- Mjumbe NEC Mbeya, Mwaselela aahidi kuchangia zaidi ya TSh. milioni 30 za ukarabati wa ofisi 32 za Kata
- Rais Samia ameahidi kujenga Msikiti Vigwaza/Migude wenye hadhi ya Rais. Sheikh Walid ampigia debe urais 2025
- Mrisho Gambo aahidi kugawa mitungi ya gesi kwa wazee 182 Arusha mjini
- Rais anazipa Simba na Yanga hela kila goli (Goli la Mama), anazitoa wapi? Msigwa ajibu "Pesa anazotoa ni ndogo"
- Mavunde awakabidhi shamba la Zabibu Umoja wa mama wafanyabiashara wadogo zaidi ya 300 Dodoma
- Mkuu wa Wilaya ya Tanga akabidhi madaftari 1,000 yenye picha ya Rais Samia. Uchawa umefika kwa watoto wetu!
- Mama aliyevunjiwa Kibanda apewa mtaji wa TSh. 250,000 na Ally Hapi
- Halmashauri ya Nachingwea yakabidhi Mifuko 91 ya Saruji kwa Mfiwa wa ajali ya Moto
- Mwana FA na wana Muheza wamzawadia Rais Samia Ng'ombe 10 na vifurushi vya Hiriki, Mdarasini, Pilipili Manga kwa ajili ya kuogea
- Rais Samia ametoa zaidi ya TSh. Milioni 26 kwa Wahanga wa ajali Mbeya
- Mbunge wa Mbeya mjini Tulia Akson agawa Bima za Afya kwa Wananchi 9000
- Maimuna Pathan akabidhi milioni 2 kusaidia ujenzi wa nyumba ya mtumishi UWT na Mitungi ya Gesi 68 kwa Wakazi wa Liwale
- Singida kusherehekea siku ya wanawake duniani kwa kugawa mitungi ya gesi
- Mshindi wa Pilau la 'Mama Samia' Kigamboni apewa zawadi ya Mtungi wa Gesi na Kiwanja
- Elia Kitomo akabidhi mifuko 10 ya saruji kwa shule ya msingi Ibogo, Iringa
- Mbunge atupele Mwakibete afanikisha kukusanya Milioni 27, harambee Kwaya ya KKKT usharika wa Kandete Mwakaleli
- Eric Shigongo atoa mitaji kwa akina Mama wa Jimbo la Buchosa
- Waziri Mkuu, Majaliwa agawa mitungi ya gesi kwa wanawake 3000 kuhamasisha nishati safi
- Antony Mavunde agawa kompyuta kwa shule za serikali Dodoma
Wananchi/wanasiasa/kada nyingine kujipendekeza kwa Rais
- Wakulima wa korosho kumchangia Rais Samia pesa ya form urais 2025
- Wahandisi na Wakandarasi wamnunulia Rais Samia helkopta kwaajili ya Kampeni za Urais 2025
- Wanaofanya kampeni ya Rais kuupiga mwingi walau hata wawe wanaveshwa vizuri!
- Hii Samia challenge inayofanyika Instagram ndiyo tusemehe uchawa wa viwango vya kimataifa?
- Mbunge Jesca Kishoa aomba 2025 itolewe Fomu 1 tu ya Urais kwa Samia Suluhu Hassan
- Kwa staili hii tutegemee nini kuelekea uchaguzi?
- Wasiolalamika kukatika umeme wazawadiwa baiskeli na CCM
- Ngara: Walimu Wakuu wa Shule za Wilaya ya Ngara, Wachangishana Fedha kwaajili ya Fomu ya Urais ya Rais Samia 2025 na kwaajili ya Mbunge Ndaisaba
- Ngara: Walimu Wakuu wa Shule za Wilaya ya Ngara, Wachangishana Fedha kwaajili ya Fomu ya Urais ya Rais Samia 2025 na kwaajili ya Mbunge Ndaisaba
- Mbunge Zaytun Swai: Rais Samia ni Mhifadhi na mtunza Mazingira namba moja nchini
- Paul Makonda asimikwa kuwa Chifu Nsumbantale, yaani Msaidizi wa Chifu Mkuu Hangaya ambaye ni Mwenyekiti wa CCM Taifa Mama Samia
- Utekaji wamliza Makonda
- Upo uwezekano wa Arusha kutoka kuitwa Geneva of Africa na kuitwa Wadudu City, tunavurugana
- DC Mtwara: Wanafunzi wa vyuo wameomba bonanza kutoa shukrani kwa Rais Samia
- Napendekeza Mkoa wa Samia uanzishwe kumpa hamasa Kiongozi na jemedari wetu jasiri azidi kutuletea maendeleo
- Rais Samia awekwe kwenye Noti/Sarafu
- Walimu Dar kuanza kuvaa suti kwenye matukio
- Simiyu: CCM Busega wachanga pesa kwaajili Rais Samia na Mbunge kuchukua fomu ya kugombea 2025, wengine watoa ng'ombe
- Madee aipeleka picha ya Rais Samia London kwenye mchezo wa Arsenal na Ipswich
- Watu wenye ulemavu wamchangia Rais Samia milioni 1 ya fomu ya kugombea Urais 2025
- Wakulima na wafugaji kumuunga mkono Rais Samia kwenye uchaguzi mwaka 2025
MWAKA 2025
JANUARI
FEBRUARI
- RC Ruvuma: Dkt. Ndumbaro hana deni jimbo la Songea mjini utekelezaji wa miradi ya maendeleo
- Video: Innocent Bashungwa naye atinga mtaani kula kwenye mgahawa pamoja na wananchi!
- Songwe yabubujikwa na machozi ya furaha na kumshukuru Rais Samia baada ya kupewa Majiko ya Gesi ya Ruzuku
- Shilole azindua mama lishe na Samia
- Baada ya kumuweka kwenye bango la comedy Rais Samia awekwa kwenye bango la Valentine's. Chawa wanampoza baada ya kuumudhi
- Picha ya Samia kwenye mitungi ya gesi ni ya nini? Haya ndio mambo CHADEMA wanapinga. Msimamizi wa vyama vya siasa yupo kama kipofu na kiziwi
- Uongozi wa CCM chini ya Rais Samia umechokwa na kuwa kituko mpaka wanatumia mabango ya Comedy "Cheka na Samia"?
- Picha; Haya mashindano yaliyopewa jina la Samia Cup, Rais anayafahamu kweli? Tukisema CCM wameanza kampeni huwa mnakataa nini?
- PM Majaliwa: Rais Samia ni Tiba ya Maendeleo, hakuna mbadala
- Baba Levo atangaza kuzunguka nchi nzima kukagua miradi ya Samia kwenye kampeni ya "Mama Hana Deni". CCM ndo mmeishiwa kiasi hiki?
- DC Ilala, Mpogolo amesema kampeni ya 'Hala Bi Mkubwa' itanadi kazi zilizofanywa na Rais Samia
- Dkt. Tulia alilipia Tiketi 1000, mechi ya Mbeya City FC dhidi ya African Sports!
- Ummy Mwalimu Aja Na Amka na Samia Jogging. Kuuteka na kuusimamisha MJi wa Tanga Hapo Kesho katika Maandalizi ya Kumpokea Rais Samia
- Rais Samia: Nilimpiga kikofi January leo namrudisha kwa mama
- Januari Makamba ampa maneno mazito Rais Samia, aapa kwenda nayo Kaburini
- Mkazi wa Korogwe atua mkutanoni na 'Kapu la Kura' kwa Rais Samia
- Wazee na viongozi wa Pangani wamzawadia Rais Samia Ng'ombe 5, Nazi na zawadi zingine
- Wasanii Ay, Madee na Chege tumeridhia kuitwa Samia Kings baada ya kushiriki pamoja katika shughuli za CCM
- Mwana FA na wana Muheza wamzawadia Rais Samia Ng'ombe 10 na vifurushi vya Hiriki, Mdarasini, Pilipili Manga kwa ajili ya kuogea
- Picha: CEO wa CRDB nae aunga mkono Vitumbua Challenge ya Steve Nyerere. Mama ndo "anapendwa" kiasi hiki?
- Ummy Mwalimu (Odo) wa sasa si wa miaka ya Kikwete. Maisha ni mafupi sana
- Chawa wa Rais Samia wapokelewa na kupongezwa Zanzibar, waahidiwa kupewa Ushirikiano na Serikali
- UVCCM wapiga simu kwa Rais Samia kumkaribisha Kilimanjaro
- Kijana wa Kigoma achora tattoo ya sura ya Waziri Mkuu, Majaliwa kifuani mwake
- CCM waanza kuzalisha bidhaa zinazomnadi Rais Samia kuelekea uchaguzi mkuu
- Rukwa: Wavuvi 800 wamemchangia Rais Samia fedha ya kuchukua fomu ya kugombea Urais
- Mbeya: Kikundi cha 'Wanawake shujaa' wilaya ya Rungwe, wamemchangia shilingi milioni moja Rais Samia fomu ya kugombea Urais
- Katikati ya matangazo ya 'Live' ITV Mgeni aomba watu wote studio wasimame kumuombea Rais Samia, Watangazaji wapata kigugumizi kumzuia
Kujichanganya na wananchi wa hali ya chini/kushiriki katika shughuli mbalimbali za wananchi
- Bashungwa akiwa kilabuni na baadhi ya wananchi jimboni kwake wakimpigia chapuo Rais Samia pamoja na yeye kuchaguliwa tena 2025
- Kigwangallah ashiriki maombolezo ya aliyekuwa Kamanda wa Sungusungu, Mzee Chalya. Aahidi kujitolea pikipiki moja kwa kila kata
- Kisa nishati safi, Tulia Ackson aweka Uspika pembeni. Aingia jikoni kupika
- Makonda: Mbinguni walimchukulia fomu Rais Samia. Adai Mbowe anajua kama Samia ametumwa na Mungu
- Video: Makonda aingia Kahama na Greda la kuchongea Barabara
- Komredi Mwajabu Mbwambo aongoza UWT Dar es Salaam kutembelea Ihsan Orphanage Center - Kata ya Kibada
- Paul Makonda akutana na Vijana zaidi ya 223 maarufu kama wadudu ofisini kwake na kuwataka kuwa walinzi na mabalozi wa kutangaza mazuri ya Arusha
- Kituko, Wagombea wa CCM wapiga magoti kuomba radhi kwa kutotimiza majukumu kipindi kilichopita
- Rais wa Wanafunzi UDSM: Wanafunzi wa Vyuo tutamchagua Samia
- Mwigulu afanya kampeni nyumba kwa nyumba, amekula kwa mama ntilie kama Kigwangala. Movie ziendelee!
- Singida: Mwigulu apanga foleni kupiga kura. Maigizo yanaendelea
Januari
Februari
- Mbunge Ruhoro kushiriki kuwasha Mnara wa Simu wa Vodacom
- Mwigulu aenda kwenye saluni ya uswahili kujichanganya na wananchi wa kawaida. Muda wa viongozi kujifanya wanyonge
- Mbunge Katambi ashiriki na Wananchi ujenzi wa Zahanati Ibanzamata, achangia milioni 10
- Makonda: Kuanzia kesho (Machi 3) kila Mwanaume hapa Arusha am-post mpenzi wake
- Rais Samia awafuturisha watoto yatima, wenye mahitaji maalumu Ikulu
- Mawaziri Aweso, Bashungwa wakicheza muziki stejini wakiwa na vikapu Kichwani
- Mbio za Magari kumpokea Rais Samia Arusha, Sherehe za Siku ya Wanawake
- Makonda hana jambo dogo, leo Arusha ni mwendo wa kula nyama choma bure
Siasa na matamko sehemu za dini pamoja na matamko ya viongozi wa dini (kanisani na misikitini na shughuli za kidini kwa ujumla)
- Askofu Mkuu Kanisa la AICT atoa tamko Mpina kufukuzwa bungeni
- Dk. Emmanuel Nchimbi, Mnyika na Tundu Lissu wapandishwa madhabahuni na Padri Dk Charles Kitima
- Je, ni kweli Mungu hana Demokrasia? Mbona alisema "Tufanye mtu kwa mfano wetu
- Askofu Dkt. Benson Bangoza aimiminia sifa na pongezi Serikali ya Rais Samia kwa kutekeleza Miradi ya Maendeleo
- Askofu Musomba: Uchawa ni dhambi ya Jamii, anapokosea aambiwe ukweli sio kumsifia tu
- TEC yashauri Viongozi wa Serikali wasiwe wasimamizi wa Uchaguzi
- TEC ni chombo cha kidini au ni chama cha kisiasa kisicho rasmi?
- KKKT nayo yajitosa Bungeni kutoa maoni yake kuhusu Sheria za uchaguzi
- Askofu Bagonza: Kanisa likijenga Shule ama Hospitali halihojiwi na Serikali, lakini likihoji mbona dawa hakuna linaambiwa lisichanganye dini na siasa
- PICHA: Paul Makonda akiombewa na Pastor Tony Kapola
- Askofu Shoo: Mungu amepanga Rais Samia kuwa Rais wetu
- Albert Chalamila: Inashangaza muislamu safi anakuwa kinara wa kumsema ovyo Rais Samia
- Ni kituko gani umekiona kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025?
- RC Chalamila akiwa amezama katika maombi kwenye mkesha kwa Mwamposa
- Mwamposa, NSSF na Leopard Tour watoa pikipiki 60 kwa Jeshi la Polisi kuimarisha ulinzi Arusha
2025
JANUARI
FEBRUARI
- Mchungaji Clear Malissa atangaza kufanya maombi Uwanja wa Uhuru kwa vyama vya CHADEMA, CCM na ACT kuelekea Uchaguzi Mkuu
- Nabii Edmund Mystic: Watanzania epukeni mashinikizo yoyote yanayoweza kuhatarisha usalama wa nchi kuelekea uchaguzi mkuu 2025
- Wasanii wa Injili wakiongozwa na Mwamposa wajipanga kukutana Mlimani City kumuombea Rais Samia!
- Dar: Viongozi wa Dini kufanya maombi kwaajili ya Rais Samia kuelekea Uchaguzi 2025
=====
Mengineyo
- Mbunge agalagala kwenye mchanga akimuombea Kura Rais Samia
- Sasa Chawa wa kike wanajiita dodo lililoiva!
- Kama Rais Samia anaingia jikoni kupika basi hapa kuna la kujifunza
- Waziri Jenista Mhagama agalagala chini ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia kwa miradi jimbo kwake
- Kilombero: Mbunge apiga Magoti Kumshukuru Rais Samia kwa Barabara
- Ruvuma: Naibu Waziri na Madiwani Mbinga wamshukuru Rais Samia kwa kuimba na kupiga magoti
- Mbunge Injinia Stella Manyanya Alala Chini kabisa kumshukuru Rais Samia kwa Miradi ya Maendeleo
- Dkt. Godwin Mollel na Diamond Platnumz wakionyeshana uwezo kupiga Push Up
- Wananchi jimbo la Siha wambeba juu kwa juu Mbunge Dkt. Godwin Mollel
- Paul Makonda: Arusha hawakupata barabara kwa muda mrefu kwa sababu waliendekeza majungu, ushirikina na siasa uchwara!
- RC Chalamila ajiachia kwa kucheza singeli mbele ya Waziri Mkuu Majaliwa
- Maganya: Mtu hawezi kwenda kumshika mama mkwe sehemu za siri, na sisi hatutakubali mtu ambeze Rais Samia
- Rufiji: Akina mama wagalagala chini kumpokea Mbunge Mchengerwa Ikwiriri
- Rais Samia anapanga foleni ya kujiandikisha ila tunakaa masaa matatu barabarani kusubiri msafara wake upite!
- Wana Ruangwa tunajua kushukuru, wanawake wagalagala mbele ya Majaliwa kama shukrani kwa utendaji wake!
- Waziri Ndumbaro atumia bajaji kuhimiza wananchi kujiandikisha Daftari la Mpiga Kura Songea
- UVCCM wa UDSM wasema Fomu ya Mgombea Urais itolewe Moja tu!
- Katoliki na KKKT yawakataa Wakurugenzi wa Halmashauri kusimamia Uchaguzi, sasa inasubiriwa BAKWATA
- Mbunge wa Ushetu apiga magoti kuomba maji ya ziwa Victoria. Waziri amjibu "Samia ametoa pesa mkandarasi anakuja"
- LGE2024 - Iringa: Lukuvi kutoa Tsh. 500,000 kwa kijiji kitakachoongoza kuandikisha wananchi Uchaguzi Serikali za Mitaa
- Dkt. Mpango: Vijana achaneni na kupenda mashangazi
- Kagera: RC Mwassa atembea na visheti kuhamasisha Uchaguzi Serikali za Mitaa. Hii ni Rushwa!
- Waziri Bashungwa atuonesha vile anavyoishi nje uwaziri akiwa na mabosi zake wapiga kura. Muvi la Uchaguzi Mkuu 2025 liendelee
- Mkuu wa Mkoa Nawanda: Chama cha Mapinduzi kikubwa kuliko Serikali
- Askofu Ruwa'ichi: Kuandikisha watoto kupiga Kura ni Hatari kwa Taifa, Tunalea Wahuni na Wezi
- Maigizo Bungeni: Waziri Nape na viongozi wengine wakaribishwa Bungeni na Roboti Eunice
- Mtwara: UVCCM Kaskazini Pemba alala chini kuwaombea kura CCM Uchaguzi Serikali za Mitaa
- Mwingine apiga magoti! Chagueni CCM izidi kuwaletea maendeleo! Bado kuruka tu kama Wamasai!
- Spika Tulia ahubiri Injili ya Upendo KKKT Kimara kwa mchungaji Matsai, asema kwenye Siasa wanachukiana sana!
- CCM Katavi wapiga magoti kuwaombea kura waogombea wao Uchaguzi Serikali Mitaa! Mpaka watatambaa ili wapewe kura
- Kigoma: Mgombea ACT aahidi sherehe ya ushindi baada ya uchaguzi
- CHAUMA: Chagua viongozi wa CHAUMA na Sera ya Ubwabwa, huwezi kufanya maendeleo bila kushiba!
- DC Moshi, James Kaji: Ningekuwa na mamlaka, ningetimua wote waliokosa kushiriki maadhimisho ya Uhuru
- Gambo: Mkuu wa Wilaya asinichokonoe, ameshindwa kuwasimamia Wataalamu, aache kumsingizia Mbunge
- Makonda: Vijana achaneni na siasa, hailipi. Pesa ndiyo inalipa
- Odero amesema ile kura moja aliyoipata ni ya mpiga kura, hata yeye hakujipigia Kura Uchaguzi CHADEMA
- Lissu asema tofauti ya mabango Kenya na Tanzania ni kubwa, akidai Tanzania matangazo yote ni ya Mama, hakuna biashara ya kiuchumi
- RC awaka nyaraka za AMCOS kutuzwa kwenye Jaba
- Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Tarime azomewa na Wananchi
JANUARI
- Kuelekea 2025 - Bashungwa asimamishwa na trafiki akiwa ametumia gari binafsi, awapongeza kwa kazi nzuri. Muvi zinaendelea
- Kuelekea 2025 Waziri Ulega akagua matengenezo ya barabara ya Samora usiku
- Kuelekea 2025 Baadhi ya Maaskofu wachukizwa na Padre Kitima kufanya Vikao vya Siri na CHADEMA
- Rais Samia amzawadia TSh Milioni 5 aliyewaokoa Watumishi wa TRA waliovamiwa Tegeta
- Lema: Wajumbe mkipewa pesa au chakula chukueni kwenye kupiga kura wachinjeni. Mchagueni Heche kwenye Umakamu Uenyekiti
- Chamwino wakata keki kumtakia heri Rais Samia. Wahusisha mpaka wanafunzi kwenye tukio hilo! Hii ni sawa?
- Mpaka yanatumika magari kutangaza birthday ya Rais Samia lakini bado kiki imebuma. Safari hii watanzania wamenuna kwelikweli!
- Pwani: Jafo achangiwa fomu ya ubunge na wajumbe Kisarawe
- CCM Rufiji kumpitisha Mchengerwa mgombea pekee
- Mbunge wa Ulanga: Hata nisiposhinda Uchaguzi mwaka huu, Rais Samia lazima ashinde
- Mwenyekiti wa Kampeni ya Mama asemewe awaagiza Wanavyuo Kutumia Mitandao ya Kijamii Kueleza Mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita"
- Mbunge wa Itilima asema alijiunga CCM baada ya Mzee Manyoni kugushi saini yake, CCM wanazidi kuuthibitishia umma huwa wanafanya umafia kwenye uchaguzi
- Esta Midimu Mbunge wa viti maalumu: Waziri Mkuu nakutuma kwa Mh. Rais ikimpendeza Jina la Mbunge Njalu Silanga lipite bila kupingwa
- Simiyu: Mbunge wa jimbo la Itilima Njalu Silanga achangiwa Milioni moja na laki tano kwa ajili ya fomu ya kugombea ubunge, fomu ishalipiwa
- Odero Odero: Nilishawahi kuishauri CHADEMA tupeleke wanawake 500 ambao wameacha matiti yao nje, nyumbani kwa Spika
- Ramsey: CCM Arusha Mwiko kusema mitano tena kwa mbunge na diwani
- Mbunge David Silinde: Anaetamani kugombea jimbo la Tunduma aje, tutamnyoosha kuliko kipindi chochote
- Wazee maarufu Geita wakabidhi fimbo na kuku kwa mwenyekiti wa UVCCM mkoa
- Wananchi wa Bumbuli: Hakuna wa kumtoa Januari Makamba labda aache mwenyewe
- Tusicheke na yetote atakayetaka kupunguza kura za rais samia 2025- Ndaruke
- RC Mara aagiza kusakwa kwa Mbunge wa Mwibara, adai ni mtoro hajawahi kumuona
- Waziri Ulega akipiga mkwara na Kingereza cha ugoko
Kingwangalla akipata futari ya afmbilii miatano (2500) kwa mama ntilie maeneo ya Mikumi