Pre GE2025 Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ulaya thubutu rais atoe hela bila kufanyiwa kazi, sisi kutanguliza rushwa ni sifa!
 
Ifike muda wa kufanya siasa zilizo bora, sio kufanya uchawa kwa kigezo cha kuonesha kua ni siasa. Anyway nchi ishakua angalau na wasomi wa kutosha hope one day some great leaders may arise
 
Ifike muda wa kufanya siasa zilizo bora, sio kufanya uchawa kwa kigezo cha kuonesha kua ni siasa. Anyway nchi ishakua angalau na wasomi wa kutosha hope one day some great leaders may arise
Shida ni hapo sisi wenyewe tunakimbilia kusapoti machawa badala ya wenye uwezo, unategemea nini hapo?
 
Du kigwangala katisha!!!
 
Huu uzi unachekesha sana.
Ni comedy tosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…