wingatereza
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 1,334
- 1,722
Wadau Umuofia kwenu.
Nilikutana na visa kadha wa kadha katika maisha ya nyumba za kupanga. Kimojawapo ni wenye nyumba kuamuru wapangaji tujisaidie choo cha peke yetu na wao cha kwao, lakini cha ajabu choo chetu kila asubuhi tunakuta mtu kanya pembeni.
Tukalalamika weeee siku nikaamua kwamba sitatumia choo hicho badala yake nitatumia cha wenye nyumba. Nikafanya hivyo.
Matokeo: Niliugua ugonjwa usiojulikana mpaka baada ya kuteseka na kutumia gharama nyingi hospitali, jirani mmoja akanitobolea siri nihame. Siku mbili baada ya kuhama nikapona full yaani 💯💯
Share experience yako ya visa ulivyokutana navyo hata vya kimapenzi.
Nilikutana na visa kadha wa kadha katika maisha ya nyumba za kupanga. Kimojawapo ni wenye nyumba kuamuru wapangaji tujisaidie choo cha peke yetu na wao cha kwao, lakini cha ajabu choo chetu kila asubuhi tunakuta mtu kanya pembeni.
Tukalalamika weeee siku nikaamua kwamba sitatumia choo hicho badala yake nitatumia cha wenye nyumba. Nikafanya hivyo.
Matokeo: Niliugua ugonjwa usiojulikana mpaka baada ya kuteseka na kutumia gharama nyingi hospitali, jirani mmoja akanitobolea siri nihame. Siku mbili baada ya kuhama nikapona full yaani 💯💯
Share experience yako ya visa ulivyokutana navyo hata vya kimapenzi.