Uzi maalum wa viwanja vya kula bata, Night Club party animals

Uzi maalum wa viwanja vya kula bata, Night Club party animals

Mimi niambie kwanza ukilewa unakuwaje kuwaje?
Yaani unajisikia vipi yaani.
Inategemea umelewa kiasi gani

Ghorofa ya kwanza, Ukiwa umekunywa mbili tatu kwa unywaji wa kawaida unahisi umetulia, kichwa ni chepesi, huna wasiwasi, ujasiri wako unaongezeka, na kwa ujumla unafurahia kuwa na watu waliokuzunguka.


Ghorofa ya pili, Ukiongeza ukiwa umelewa, hisia hizo zinaongezeka. Unaweza kuanza kupoteza udhibiti mdogo wa mwili wako, kujiamini kunazidi unaweza kuamka kucheza muziki hata kama hujui ila control inazidi kupungua.

Ghorofa ya tatu, Ukipitiliza sana kutembea ni kwa kupepesuka na kuanguka, unaweza kutapika na hata kufikia hatua ya kuzimia (blackout), ambapo hukumbuki kabisa kilichotokea na unafanya mambo kwa mazoea bila kufahamu (auto pilot).

Mtihani huwa ni kuweza kuijua mipaka yako na kuweza kuji balance usivuke, maana kadri unavyochochea ndio raha inazidi lakini unazidi kupoteza control
 
Inategemea umelewa kiasi gani

Ghorofa ya kwanza, Ukiwa umekunywa mbili tatu kwa unywaji wa kawaida unahisi umetulia, kichwa ni chepesi, huna wasiwasi, ujasiri wako unaongezeka, na kwa ujumla unafurahia kuwa na watu waliokuzunguka.


Ghorofa ya pili, Ukiongeza ukiwa umelewa, hisia hizo zinaongezeka. Unaweza kuanza kupoteza udhibiti mdogo wa mwili wako, kujiamini kunazidi unaweza kuamka kucheza muziki hata kama hujui ila control inazidi kupungua.

Ghorofa ya tatu, Ukipitiliza sana kutembea ni kwa kupepesuka na kuanguka, unaweza kutapika na hata kufikia hatua ya kuzimia (blackout), ambapo hukumbuki kabisa kilichotokea na unafanya mambo kwa mazoea bila kufahamu (auto pilot).

Mtihani huwa ni kuweza kuijua mipaka yako na kuweza kuji balance usivuke, maana kadri unavyochochea ndio raha inazidi lakini unazidi kupoteza control
Duh mkuu umenijibu ukiwa sirias kabisa!
Sema asante nimejifunza kitu leo kuhusu kunywa na kulewa.
 
Mimi sasa hivi moshi umeshakolea hata sihitaji kutoka
1000022087.jpg
 
😆😆😆😆 kwamba nitafute hela nyingi kwanza ndiyo niitafute vizuri hiyo eksipiriensi ya unywaji pombe! Sawa
hahahh sahihi kabisa, alafu vitu vyote sio vua kujaribu vingine waachie wengine

ukijua experience ya pombe bado utakua hujui ya bangi, heroin, cocaine, amphetamines, navingine vingi je utajaribu vyote ?

kwaiyo haina haja ya kujua ni addiction ambayo haina maana
 
Mimi sasa hivi moshi umeshakolea hata sihitaji kutokaView attachment 3229550
Mnaotumia hio kitu mnatumia kizamani sana mnaishia kuungua vidole, harufu kali na midomo mieusi

Toka nje nenda viwanjani uone njia za kisasa wanazotumia wenzenu wa majuu waliokuja kutalii mjifunze kitu, moshi unapozwa kwenye maji baridi, ujazo wa pafu moja tayari upo mawinguni 😂

CRTV-2921_How-To-Use-A-Bong6761_16x9-768x432.jpg
 
Umechelewa mshahara ushaisha, Mwisho wa mwezi nitarud hapa.
 
Back
Top Bottom