round kick
JF-Expert Member
- Feb 3, 2025
- 345
- 1,145
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes, wamuulize Wema Sepetu na wenzakeMkuu Katika kula bata huko Usisahau kuwakumbusha pia umri haurudi nyuma na majuto ni mjukuu.
naam, hapa Nina series zaidi ya 50 Sija gusa hata 1.wengine bata zenu ni ndani ya vyumbani mkuu, kuangalia series, mpira. kucheza games, n.k. 😂
Inategemea umelewa kiasi ganiMimi niambie kwanza ukilewa unakuwaje kuwaje?
Yaani unajisikia vipi yaani.
Duh mkuu umenijibu ukiwa sirias kabisa!Inategemea umelewa kiasi gani
Ghorofa ya kwanza, Ukiwa umekunywa mbili tatu kwa unywaji wa kawaida unahisi umetulia, kichwa ni chepesi, huna wasiwasi, ujasiri wako unaongezeka, na kwa ujumla unafurahia kuwa na watu waliokuzunguka.
Ghorofa ya pili, Ukiongeza ukiwa umelewa, hisia hizo zinaongezeka. Unaweza kuanza kupoteza udhibiti mdogo wa mwili wako, kujiamini kunazidi unaweza kuamka kucheza muziki hata kama hujui ila control inazidi kupungua.
Ghorofa ya tatu, Ukipitiliza sana kutembea ni kwa kupepesuka na kuanguka, unaweza kutapika na hata kufikia hatua ya kuzimia (blackout), ambapo hukumbuki kabisa kilichotokea na unafanya mambo kwa mazoea bila kufahamu (auto pilot).
Mtihani huwa ni kuweza kuijua mipaka yako na kuweza kuji balance usivuke, maana kadri unavyochochea ndio raha inazidi lakini unazidi kupoteza control
Kijana maskiniii maswali Gani hayaaaa 😂Mimi niambie kwanza ukilewa unakuwaje kuwaje?
Yaani unajisikia vipi yaani.
kwaiyo umeelewa kwa kihadidhiwa ukitaka kuelewa unajisikiaje kanywe maana mtu hawezi kukuelezea unavyojisikiaDuh mkuu umenijibu ukiwa sirias kabisa!
Sema asante nimejifunza kitu leo kuhusu kunywa na kulewa.
Sawa kiongozikwaiyo umeelewa kwa kihadidhiwa ukitaka kuelewa unajisikiaje kanywe maana mtu hawezi kukuelezea unavyojisikia
kunywa pombe kupita kiasi kunadhuru afya yako
😆😆😆😆 huwa navuta picha ila sipati majibu nikaona hapa ndiyo mahali pa kutoa dukuduku langu.Kijana maskiniii maswali Gani hayaaaa 😂
ila ukizoea pombe unakua masikini zaidiSawa kiongozi
😆😆😆😆 kwamba nitafute hela nyingi kwanza ndiyo niitafute vizuri hiyo eksipiriensi ya unywaji pombe! Sawaila ukizoea pombe unakua masikini zaidi
Mkuu npo Ndanda apa kikazi nmekaa ndani siku njema nko bored kinomaKaribuni kibo masasi
hahahh sahihi kabisa, alafu vitu vyote sio vua kujaribu vingine waachie wengine😆😆😆😆 kwamba nitafute hela nyingi kwanza ndiyo niitafute vizuri hiyo eksipiriensi ya unywaji pombe! Sawa
Mnaotumia hio kitu mnatumia kizamani sana mnaishia kuungua vidole, harufu kali na midomo mieusiMimi sasa hivi moshi umeshakolea hata sihitaji kutokaView attachment 3229550