Uzi maalum wa viwanja vya kula bata, Night Club party animals

Hivi dodoma kwasasa kiwanja gani kiko juu na kina vibe.??
 
Sema kuomba omba inategemeana na sehemu. Hivi kama wavuvi mtu ataenda ili hali hela yake ya ngama?
 
Pole
 
Unaonekana either upo kwenye foolish age au umeanza kuingia sehemu za starehe miaka ya hivi karibuni.
 
Nimetoka nje ya TNT nimekuja kucheki madada poa huku Leo TenaπŸ˜‹
 
Cha muhimu zaidi ni hapo ulipoandika BEBA MPIRA/CONDOMS πŸ€£πŸ˜… sijawahi acha kuwa na condoms kwenye gari... Zipo za kutosha
 
Hii Travek osil naipataje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…