Abbasfarudume
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 1,625
- 1,326
- Thread starter
-
- #81
Nakuletea K. Vanti mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125]Hizi Serengeti Lite hata hazileweshi
Wazee wa cham [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hahahahaha uzi wa walevi??
Au nimetumia lugha kali wakuu??
Mbona savanna ni tamu MBITI, chakufananisha na nyagi ni kama smin off vodka.mie nikinywa hizo tumbo linawaka!ila umewahjaribu sminrf blak ice mamy?/ ile aiseeee ni km nyagi..yaan uwiii
Mhudumu ongeza glass hapa [emoji481][emoji481][emoji482][emoji482][emoji3][emoji3]samahan weita ongeza glass, acha nilewe nilewe tu
Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
Mlevi siku zote hasahau vitu viwili,..anapoishi,.....na bili ya vinywaji alivokunywa,ao wengine sijawaelewa!!!
Mmh kwa nini haipandi kabisa auBia nakunywa home ila nje ya home ni ngumu kumeza tu
Kweli kabisa zipo vizuri azina hangover mkuuHizo unaweza ukanywa kreti zima na asubuhi unaamka upo poa kabisa.........hapo tu ndo ninapozipendea
safi sana mkuu
ekMbona savanna ni tamu MBITI, chakufananisha na nyagi ni kama smin off vodka.
Duuh bora hata wewe mwenye uchaguzi, mie chochote tuu twende kazi ni mwendo wa tarumbeta without glass [emoji26]Kinywaji changu heinken mama mavinywaji mengine yote siyawezi labda siku itokee na hamu ya wine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ney weweDuuh bora hata wewe mwenye uchaguzi, mie chochote tuu twende kazi ni mwendo wa tarumbeta without glass [emoji26]
Mmh kwa nini haipandi kabisa au
Huyu Ney anakunywa sana ujue inaonyeshahahahahaa nimecheka had mume kanifinya hahahahaha umejuaje km ni tamu wajina !hahhaaha ina kitu gan sijui nimesahau .. mie nna ulcers huwa siamki aisee naumwa tumboo uwii ( nadhan ile cider ina vichembe chembe vya ulimao)
ek
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Akibaka mwambie mkuu. Anajitafutia mikosi tuOh oo oo!!!
-Ndumilakuwili-
Pombe kali si nasikia hauendi sana chooni sema ndio umeshajizoesha hivyoSipendi zile trip za kwenda kukojoa zikianza...halaf mm napenda zaidi pombe kali
Huyu Ney anakunywa sana ujue inaonyesha
[emoji23][emoji125][emoji125][emoji125]Tatizo hata wakiwa na chura. Wengine wameshaoza kama samaki mkuuBar nzuri iwe na misosi nyama choma vinywaji kibao bila kusahau wale viumbe wetu hasa wakiwa na mitako mikuuubwaaa sura hata iwe mbovu ila mzigo uwepo
swali zuri kweli hili..mi nadhani jamii yoyote ya asili ya eneo husika lazima wawe na pombe za kienyeji lakini kwa kua wazanzibar wengi ni uzao wa watumwa na wapokeaji wa dini ya kiislam sidhani kama watakua na pombe za kienyeji.Hivi Zanzibar kuna pombe za kienyeji? Kama vile mataputapu kwa upande wa Bara...