Uzi maalum wa wanywaji pombe

Uzi maalum wa wanywaji pombe

Kazi na dahawa
d3ae0dc90a785ba222e6206c995650b1.jpg
56aaf747489ada3c110e3c44ab5cae6b.jpg


-Ndumilakuwili-
 
Hivi Zanzibar kuna pombe za kienyeji? Kama vile mataputapu kwa upande wa Bara...
 
Hizi Serengeti Lite hata hazileweshi
Take on empty stomach mkuu 3-4 bottles ndio ule huku unapiga taratibu kumaintain effect usiende bar na kuanza kuagiza nyama au mchemsho supu whatever kabla hujanyewa utapata hasara but offer 1merit they are cheaper at 1.5k tsh
 
Nawaona tu mnavyotamba,ngoja na mie nianzishe uzi wa watumiaji wa sigara kubwa ili twende sawa
 
Nawaona tu mnavyotamba,ngoja na mie nianzie uzi wa watumiaji wa sigara kubwa ili twende sawa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Best umefata nini huku chumbani kwetu wakati wewe si mwenzetu?
 
Back
Top Bottom