Uzi maalumu: Kijiwe cha Soga kwa waliowahi na wanaoendelea kukaa nje ya Tanzania

Uzi maalumu: Kijiwe cha Soga kwa waliowahi na wanaoendelea kukaa nje ya Tanzania

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Kwa wale wote ambao mko nje ya Tanzania hapa panawahusu
Kwanza tunataka kujua uzoefu changamoto zenu na mnayakabili vipi maisha ya huko

Hapa tupate kujua unapendelea safari na kampuni gani au shirika gani la.ndege ni lipi unalichukia na kwanini??

Mji gani umekaa, je umewahi kubaguliwa?

Unaishi na kina nani huko, masela, umepanga kwako, au unaishi na familia yako,

Mara ya kwanza kupanda pipa nani alikupa mchongo mpaka huko ulipo?

Umewahi pata changamoto yeyote na uliikabili vipi

Je ulisumbuka kupata kibali cha kuishi hapo??
Na wale wa boder za nchi kavu karibu

Kuna mengi sana ya kushare hapa

luambo makiadi Jon Stephano Kiranga Nyani Ngabu Witness ponela venchwa
 
Kwa wale wote ambao mko nje ya Tanzania hapa panawahusu
Kwanza tunataka kujua uzoefu changamoto zenu na mnayakabili vipi maisha ya huko

Hapa tupate kujua unapendelea safari na kampuni gani au shirika gani la.ndege ni lipi unalichukia na kwanini??

Mji gani umekaa, je umewahi kubaguliwa?

Unaishi na kina nani huko, masela, umepanga kwako, au unaishi na familia yako,

Mara ya kwanza kupanda pipa nani alikupa mchongo mpaka huko ulipo?

Umewahi pata changamoto yeyote na uliikabili vipi

Je ulisumbuka kupata kibali cha kuishi hapo??

Kuna mengi sana ya kushare hapa

luambo makiadi Jon Stephano Kiranga Nyani Ngabu Witness ponela venchwa
Niulize hii miji nimeishi nakufanya kazi. Reykjavik Icelend, Stockholm siyo sana. OSLO, Bergen, Trondheim na denmark uniambii kitu.

Marekani pia siyosabana
 
Write your reply...
umefanya LA maana mno kuweka hii thread
Mimi kwasasa makao yangu ni cologne
mchongo wa kazi ktk shirika Alinichongea ndugu yangu ambaye ni padre huku,nimetembea nchi mbalimbali duniani kwa kazi za shirika letu
Mimi mostly natembea nchi nyingi kwakuwa nipo kitengo cha research
changamoto ni lugha kijerumani kigumu mno heri kifaransa
lkn ktk shirika letu official languages ni Spanish French English,Latin na kireno
sipati shida Sana
visa yangu natembea nchi nyingi duniani
 
Niulize hii miji nimeishi nakufanya kazi. Reykjavik Icelend, Stockholm siyo sana. OSLO, Bergen, Trondheim na denmark uniambii kitu.

Marekani pia siyosabana
ki Iceland kigumu ee
hebu tuambie maisha ya kule yakoje
mm sweden nimefika mji wA malmo
Denmark nimefika aarus kwenye peninsula very amazing
 
Write your reply...
umefanya LA maana mno kuweka hii thread
Mimi kwasasa makao yangu ni cologne
mchongo wa kazi ktk shirika Alinichongea ndugu yangu ambaye ni padre huku,nimetembea nchi mbalimbali duniani kwa kazi za shirika letu
Mimi mostly natembea nchi nyingi kwakuwa nipo kitengo cha research
changamoto ni lugha kijerumani kigumu mno heri kifaransa
lkn ktk shirika letu official languages ni Spanish French English,Latin na kireno
sipati shida Sana
visa yangu natembea nchi nyingi duniani
Ndiyo mkuu kwahiyo bongo ndo umepakimbia kabisa?
 
Kwahiyo sis tunaoishi kenya kuna nafasi yetu hapa?
Nimeishi sana kericho, Nairobi eneo linaitwa Kayole, kule kuna kaanjoo kibao, ila wanapenda sana rushwa, wanaomba 500 ksh ni constant, nimezagaa Sana koinange kupata totoz kipindi sijaoa
Haha
 
Back
Top Bottom