Uzi maalumu: Kijiwe cha Soga kwa waliowahi na wanaoendelea kukaa nje ya Tanzania

achana na akili ya ki ccm upate shavu fasta
 

Romania na Bulgaria ni nchi ambazo kwa asili ni maskini kidogo hivyo zina kale kabendera na mwafrika kuwa na passport zao huo ni mtihani.

Ila ukiwa na ile ya Hungary kidogo kuna unafuu.
 
Riga Latvia ushafika? Ila natamani sana tena kwa sana kufika kwa bibi has kutokea paris kupitia chini ya maji kwenye ile tunnel.
Natamani sana yani hadi skotlend kwenye yale macastle

Hapana Latvia sijafika ina natamani niende huko.

Nasikia nauli ya ndege ni very cheap.
 
Ingawa sijawahi kufika Ulaya wala Amerika ,Ila hz nchi chache za ki Africa ,central ,east na north ,kitu ambacho sitaki na huwa sifanyi ni kujaribu kukutana au kujenga mazoea na mbongo ,sipotezi huo muda


Mkuu wabongo nje ya nchi hawana maana, mimi wakati nasoma nje ya nchi nilikuwa nakutana nao madukani ila walikuwa hawajuwi kama mimi ni mbongo. Nawasikia tu wakiongea Kiswahili na kusemana, nilikataa kata kata kutojihusisha nao kwani kaka yangu alinionya mno kutojihusisha nao pamoja na West Africans haswa Nigerians.
 
Habari ya huko
 

Bulgaria kwa kimaskini
crotia hali ni gumu pia kuna makodi kodi mengi ya ajabu
huwa natembelea nchi jirani na hapa Germany kama vile Austria kule kama huna hela unakufa,Nilikuwa mjini Vienna juz juz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…