Uzi maalumu kwa ajili ya kujifunza namna ya kutengeneza Android Apps

Hamisi Omary,
Hiyo ni kozi ipo kwenye website kama utashindwa kulipia hiko kitabu. Ukibonyeza link hiyo ya android tutoriapoint kushoto kuna menu ya kozi yote ya Android ipo namna.



Kwa hiyo menu ina machaguo na link ambazo zina content kuhusu android, kwa kuwa ww ni beginner kabisa anza na hiyo na link ya kwanza kabisa.
 
Naomba msaada jinsi ya kuwezesha apps kwenye iphone 4 yenye ios 7.2.5 na jisi ya kuifta i cloud ambayo hauna password yake
 
Na mimi nazihitaji pia
 
All PDF reader
App ya kibongo
Open any PDF file, reduce pdf file size, combine multiple pdfs and many more. All these features are available for free and offline.
Available on Google play

 
Adsence account needed

Nahtaji adsence account yenye domain na website yake na iwe imetoa zaid ya mara 4. Please kama unayo na unaiuza naomba tuwasiliane inbox au kwa 0658268999
 
mwaminifuhalisi, Mimi nina idea ya kutengeneza APP inatakayoweza kututoa kimaisha, kama una utaalamu wa haya mambo nicheck ila nahitaji team ya watu wengi including wanaoweza/kujifunza ku HACK 0620343417 WhatsApp
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…