Uzi Maalumu kwa Wahenga wa JamiiForums

Jitahidi upate hicho cheo

Uwe tofauti na sisi wa juzi

Nilijaribisha b4 nawatumia msgs hawajibu.. nawaacha wakitaka watanijuza. Wanapesa ndefu hawaitaji za akina nobody Cocochanel
 
Mimi mwenyewe muhenga humu, nilianza na ID ya andunje mdogo, nikapoteza password, now natumia hii ya farusofia
 
hahahaahh, ahsante kwa kuniona pia ahsante Mwifwa kwa kuniweka kwenye orodha. Pia na mie namshukuru mwanaJF Nova Makunga ndie aliyenishawishi kujiunga na Jamboforums miaka hiyo.
Halafu kwa nini hujanishawishi na mimi hadi nikachelewa kiasi hicho[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji15]
 
Kibanga ampiga mkoloni
Field Marshal ES
Nyani Ngabu
Mtu wa pwani
AshaDii
 
Mnachambua kama karanga
Kweli mkuu.
Hawa member ndio wamefanya Forum iwe hai na kukua hadi leo hii, endapo Melo asingepata watu kama hawa pindi alipoanzisha hii Forum asingefanikiwa kuiimarisha peke yake
 
Wahenga wengi ni mambumbumbu
Wanatambia uhenga tu wakati kutangulia sio kufika na kuwahi darasani sio kuongoza darasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…