BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Nimemkumbuka legend mwingine huyu ID yake ilikuwa ni Mwafrika wa Kike. Huyu michango yake ilikuwa kwenye jukwaa la kuudhi tu na alikuwa kichwa sana na nondo zake bab kubwa.
Alituaga humu kwamba anaondoka. Wengi walisikitika sana na kumuomba asiondoke. Mwenyewe alionyesha hakupenda aondoke lakini alikuwa hana jinsi. Watu walitaka kujua sababu zilizosababisha aondoke. Mwanzoni hakusema lakini baadaye akatwambia Mama yake kamgundua humu na hakupenda aliyokuwa akiyaandika. Baadhi walimshauri abadili ID lakini akasema haitachukua muda Mama yake kumgundua maana anajua anavyo tiririka.
Alituaga humu kwamba anaondoka. Wengi walisikitika sana na kumuomba asiondoke. Mwenyewe alionyesha hakupenda aondoke lakini alikuwa hana jinsi. Watu walitaka kujua sababu zilizosababisha aondoke. Mwanzoni hakusema lakini baadaye akatwambia Mama yake kamgundua humu na hakupenda aliyokuwa akiyaandika. Baadhi walimshauri abadili ID lakini akasema haitachukua muda Mama yake kumgundua maana anajua anavyo tiririka.