Uzi maalumu kwa wale waliowahi kupigwa ban JF

Uzi maalumu kwa wale waliowahi kupigwa ban JF

Daah hata sikumbuki nilimtukana nani, nikashangaa tuu nafungua nakuta nimepigwa ban ya siku nzima.


Daah noma sana. But haikuniathiri sana coz ilikuwa ya mda mchache.
 
images.jpg

napitaaa tuuu ilaa isikiee
 
Daah hata sikumbuki nilimtukana nani, nikashangaa tuu nafungua nakuta nimepigwa ban ya siku nzima.


Daah noma sana. But haikuniathiri sana coz ilikuwa ya mda mchache.
Ya siku moja poa ni kama vile umekosa bando siku hiyo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom