sabosabo
JF-Expert Member
- Dec 16, 2012
- 2,050
- 5,066
Wewe tu utakavyopenda!Rost au kavu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe tu utakavyopenda!Rost au kavu
Haina mbaya MkuuNakaa mitàa hii ndo maana siwez kwenda mbali wakat hapa pazuri
Pesa ngapi Wine lita 5?ukitaka wayne aina yoyote,au zabibu ni pm nipo hombolo
Idara ya maji ni uelekeo mwngine kidogo .. kwenyew ni karb na kota za police.. madereva wa usafiri wwt wanapajua ukisema tu waswanu pub uzunguniMitaa ya Dowasa karibu na Vodacom centre office
Ufukwe upo mzuri ukilinganisha na Zabibu za huko Dar.... tehteehhhSamahani nauliza, hapo Dodoma kuna ufukwe mzuri!?
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Basi sawaa,limepita hilo,ukiionja hutakua hukosi hapoRost[emoji8][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Kwahiyo hugusi kabisa siku hiz?Nilizidishaaa ndugu
Pale ni maarufu kwa wakunywa Konyagi, na wasikilizaji wa HipHop....[emoji13] [emoji13] [emoji12] [emoji12]Kitimoto nyingine ipo huku uzunguni pale waswanu pub
Cc: Mbabe hunter naimani J5 kilo 3 itahusikaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28]Basi sawaa,limepita hilo,ukiionja hutakua hukosi hapo
Inabidi ufanye hivyo aisee,ndio itashuka vizuri!Nipo likizo lakin nitaonja kidogoo
Mida mizuri jion,kuanzia kumi na moja hiv,tukitoka vibaruani!Kwani nimeshawahi kukuzingua hili chimbo letu asubuhi j5 wewe tu tukutane hapahapa