Uzi maalumu kwa Wana JamiiForums wanaohamia na kuishi Dodoma!

Karibu sana Dom my dear shemelaaaa[emoji8][emoji16][emoji16]
zile bend zilikuwa zinatoa burudani zipo ? Mfano super melody sakis ile ya fourways kizota inaitwaje? Naomba ratiba zake
 
Duh! capital city kitambo, ngoja nifanye mingo nihamie hapo, nimekaa three years 2008 -2011, pande za Chimwaga, nitakutafuta Mkuu nikija pande hizo!
 
Duh! capital city kitambo, ngoja nifanye mingo nihamie hapo, nimekaa three years 2008 -2011, pande za Chimwaga, nitakutafuta Mkuu nikija pande hizo!
Karibu sanaaaaaaaa
 
Nilikaa sana kule majengo kikazi ndani ya awe Guest house
 
Nidadavulie maeneo nyeti pale Kondoa, nahamia kikazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…