Poa poa!! Naja miye kwangu maeneo ya nyumba 300 mtaa wa mwanzo!![emoji23][emoji23][emoji23]tena nakusubir kwa hamu kipenziiii
zile bend zilikuwa zinatoa burudani zipo ? Mfano super melody sakis ile ya fourways kizota inaitwaje? Naomba ratiba zakeKaribu sana Dom my dear shemelaaaa[emoji8][emoji16][emoji16]
Tufanyeni basi jumapili/jumamosi kama vipi,kama alivyoshauri Mbabe hunter
Naomba nikupokee!Demmiz nikija Dom next month ntakuchek ujue
Nakusikiliza Mwenyeketi,nilijua labda this week!Next week
Bas next week bora katikati mi weekend Mara nyingi nasafiri jpili hii ndo ningekuwepoHii week nitakuwa out ya mji
Tufanyeni jumapili,next weekHii week nitakuwa out ya mji
Mzee baba hii jumapili nikuone hapa waswanu tupige story mbili tatuTufanyeni jumapili,next week
Haina mbayaa mkuu,mi nipo hata weekend hii nitakuepo,ntakuchek MkuuMzee baba hii jumapili nikuone hapa waswanu tupige story mbili tatu
Poah poahHaina mbayaa mkuu,mi nipo hata weekend hii nitakuepo,ntakuchek Mkuu