Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

TAARIFA TAARIFA NDUGU MWENYEKITI

ttumepunguuzaidadii ya ukimwi...

TAARIFA TAFADHALI
Kila familia ukijumlisha babu mpaka wajukuu hukosi watu hata 5 wenye ngoma
Tz kuna familia ngapi?

Kuna mwanamke alilia hadi pressure baada ya kuzaa watoto 6, wawili walifariki zamani huko miaka ya 90
watatu wana ngoma, sasa huyu mmoja aliyebaki wa kiume akawa ana imani nae kua yeye kanusurika kisa ameoa hivi karibuni.
Alizimia baada ya kujua huyu aliyeoa nae anaishi kwa matumaini na mkewe.
 
Ooooohhhòohhhh mpwaaa acha bwanaaa kha
 
Inaitwaaa kitukizitooo
Panyakalapanyaaa
 
Yeye alijijua alikubalije kumwingiza mkenge mwenzie ama ndio maandikoo ntakupa wa kufanana naeee hahahaha
 
Umeongea point sana Mungu akubariki🤗
 
NILIWAHI ENDA MAKETE MKUU WIFE ALKUWA ANAFANYA RESEARCH ZA KAZINI ZA UKIMWI AISEE WATOTO WAZURI 17-21 WAZURI SHEPU SHEPULAAA WANA WADUDU NA WENGINE WANA WATOTO WAKO HOI AISÈE NIMERUDI CHUMBAN WYF AKASEMA UMEONA EEH MUENDEMEZE KUPASUA SPIKA ZENU AISEE NILIANZA KUFUTA GFRIEND MMOJA BAADA YA MWINGJNE NKABAKISHA WA JF MOJA TU..NAE KAMA N WALEWALEE BASIIÌI...
 
Pole sana,kuna familia naifahamu ameondoka Baba,mama anao,watoto wannne wote wameshatangulia,amebakia salama mtoto mmoja tu...
 
muulize okwi ana ngapi atakwanbiaa
 
ngoja tujadili ukimwi kwanza ila kuna watu wanapiga helaa ndefu na hizi ngoza ukimwi acheni tu sema wengi viongozi waathirika nawajua
 
Kinachokera sio uchungu au utamu bali ni harufu yake, as a matter of fact zinakinai mno, ndo maana wengi huziacha njian
Nili rupture uterine artery kwenye c/ s operation

Nesi hakuleta taarifa kwamba yule binti ni pmtct1 alooh nilikunywa zile pep [emoji23][emoji22]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…