Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

CD4 zilikua below 100 hapo either toxoplasmosis Alikua activated
Au progressive multifocal leukoencephelopathy

Pole sana so Far HIV ni risk factor ya mtu kupata stroke

Sema sasa kama alkua daktari anyway Pole sana mkuu
 
Mama angemwambia tu rafiki yake amchome pottasium kiroho safi au insulin

Kifo safi kabisa
 
Nili rupture uterine artery kwenye c/ s operation

Nesi hakuleta taarifa kwamba yule binti ni pmtct1 alooh nilikunywa zile pep [emoji23][emoji22]
Mwambaa ulo vizurii yaan nikisoma ..yakoo naishiaa kufurahia unavyozipanga kwa kichaga
 
Lazima apatikane Mungu hanaga choyo, njia nyeupe kabisa ipo qakati wa Mungu ni sahihi. Usifanye vitu kuwafurahisha watu, fanya kufurahisha moyo wako.

Kama ni kweli umenyooka na sifa za mwanamke wa mithali na una nia ya dhati ya kubeba jukumu la ndoa njoo dm. Niko serious
 
Kwa ugumu nilionao wakimaisha binafsi sifikirii kuendelea kupima pima afya yangu , naamini nitaishi mara mo na nitakufa mara 1 ,so ni vyema niishi bila kuhangaishana na dawa za hapa na pale.
 
Kingine naamini kufa kupo na kuna siku nitakufa , siwezi ishi kwa vipimo maana si kwamba kujua afya yangu ndo kupona kwangu ,bali najiongezea msongo wa mawazo tu.
 
Kweli kabisa ukitulia mwenza wako anaeruka analeta ila sio sana sababu wanaume hawachubuki sana ubaya mpaka maji maji ya wanaume mbegu zinaweza kukupa virusi kama hajaanza kutumia ARV
Kama unajijua hujatulia basi tumia Kinga au mwambie mwenzieo atumie Kinga. Wengi wanapeana Ukimwi sababu ya kuendekeza ngono zembe na unafiki wa kutoambiana ukweli kwenye mahusiano.
 
Kama unajijua hujatulia basi tumia Kinga au mwambie mwenzieo atumie Kinga. Wengi wanapeana Ukimwi sababu ya kuendekeza ngono zembe na unafiki wa kutoambiana ukweli kwenye mahusiano.
boss kuna watu wana aleji na matumizi ya mipira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…