eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Mkuu,
Huu ugonjwa ni very technical, unaweza kumpata aliyejaribu kwa mara ya kwanza leo, unaweza kumpata aliyetulizana na kumuacha mzoefu wa kuchakata bila pira. Tuzidi kuwa makini tu ila hakuna "constant" kabisa.
Halafu, wengine ni wanogesha kijiwe tu wapo sio wachakataji kivile.
😛
Siku hizi ukimwi siyo kiviile. Miaka ya 90's ndiyo tuliishi kwa stress. Wachepukaji wakiona mke/mme wa fulani kafa kwa mkanda wa jeshi nao walianza kuugua kihoro.