Tundazuri
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 1,932
- 2,525
Ndio, si utalemaza mishipa ya dude lakoYa mbususu yako ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio, si utalemaza mishipa ya dude lakoYa mbususu yako ?
Sasa sii unipee tuu mbususu tumalizane vizuriNdio, si utalemaza mishipa ya dude lako
Nitakupa usijaliSasa sii unipee tuu mbususu tumalizane vizuri
Watu kama nyie hatutaki maoni yenu, zingatia maudhui ya uziDaah aisee hongera kwa kujitambua.
Mimi mara ya mwisho nilipima 2021, nilikua -ve.
Ila migodini naskia ni habari nyingine kabisa.
Sahihi💯💯Watu kama nyie hatutaki maoni yenu, zingatia maudhui ya uzi
Zinaitwa Dawa za kufubaza virusi vya ukimwi, which means ukizitumia vzr virusi vinafubaa kweli kweli na kukosa nguvu ya kureact kama zamani hivyo kuwa ngumu kdg kuambukiza mtu mwingne, ndo maana unashauriwa kuanza dozi mapema mara tu baada ya kuambukizwa sio kwa ajili ya afya yako tu bali pia afya ya mwenza wako.Naomba kuuliza kipenzi, hv ukishaanza kunywa dawa sio rahisi kumuambukiza mtu ambae ni negative? Nimeshuhudia kuwa watu wamepata maambukizi lakini wenza wao wako negative
Ahsante sana my dear, nakuelewa vzrZinaitwa Dawa za kufubaza virusi vya ukimwi, which means ukizitumia vzr virusi vinafubaa kweli kweli na kukosa nguvu ya kureact kama zamani hivyo kuwa ngumu kdg kuambukiza mtu mwingne, ndo maana unashauriwa kuanza dozi mapema mara tu baada ya kuambukizwa sio kwa ajili ya afya yako tu bali pia afya ya mwenza wako.
Lala sasaAhsante sana my dear, nakuelewa vzr
Kumeza dawa kila siku kunachosha sana mkuu. Last year nilipewa dozi ya presha ninywe miezi 2 kabla ya kujifungua lakini nilishindwa kuna namna muda wa kunywa dawa ukifika hali fulani unaipata inakuchosha hasa ile harufu ya dawa. Sasa imagine ndio maisha yako yoteMbona unakula chakula kila siku.
Unapoenda kulala unakunywa dawa zako maisha yanaendelea.
Binafsi nawashukuru sana waliotengeneza RV na mamlaka zinazotoa hizo dawa kwa wahusika bure.
Bila hivyo lingekuwa janga la dunia.
Tulale wotee sasaLala sasa
Unajijengea kama mlo wako wa kila siku, ukichukulia kama dawa utachoka mapemaKumeza dawa kila siku kunachosha sana mkuu. Last year nilipewa dozi ya presha ninywe miezi 2 kabla ya kujifungua lakini nilishindwa kuna namna muda wa kunywa dawa ukifika hali fulani unaipata inakuchosha. Sasa imagine ndio maisha yako yote
Vijana tuplay safe, matumizi ya kinga na kuwa waaminifu
Wazo zuri💯💯Unajijengea kama mlo wako wa kila siku, ukichukulia kama dawa utachoka mapema
Wazungu ni nyoko sanaTukutane wote wenye virusi vya ukimwi na kuelezana ulijisikiaje ulipoambiwa kuwa una upungufu wa kinga mwilini?
Mimi nakumbuka ilikuwa 2020, mwezi wa 7 tarehe 17 nilipima katika hospitali moja ya mgodini, na kugundulika kuwa nina maambukizi, taarifa hiii ilikuwa mbaya sana kwangu ila baada ya hapo nilizoea na sasa naishi vyema kwa matumaini.
Twambie wewe mdau ulijisikiaje?
NB: Tutumie lugha safi yenye staha, tusibaguane wala kunyayapaana.
Akhsante.
UKIMWI nikama pesa hata mtu anazo akikopwa anasema hanaAkhsante sana mdogo Angu🙏🙏🙏 ila sijaanzisha kwa ajili ya kupewa pole na hongera, ni kushare tu experience, au jf hakuna wenye VVU
Basi ngoja nikanoe kibamia changu kiwe ready for some actionNitakupa usijali
Wanaume wengi, wanawake wachache, kipato kikubwa.Kwanini mgodini kuna maambukizi ya HIV yapo juu
Wazungu ni nyoko sana