Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

Tulikuwa tukijua korona ni story na mpaka leo hatuamini tuzime data
 
Naomba kuuliza kipenzi, hv ukishaanza kunywa dawa sio rahisi kumuambukiza mtu ambae ni negative? Nimeshuhudia kuwa watu wamepata maambukizi lakini wenza wao wako negative
Zinaitwa Dawa za kufubaza virusi vya ukimwi, which means ukizitumia vzr virusi vinafubaa kweli kweli na kukosa nguvu ya kureact kama zamani hivyo kuwa ngumu kdg kuambukiza mtu mwingne, ndo maana unashauriwa kuanza dozi mapema mara tu baada ya kuambukizwa sio kwa ajili ya afya yako tu bali pia afya ya mwenza wako.
 
Zinaitwa Dawa za kufubaza virusi vya ukimwi, which means ukizitumia vzr virusi vinafubaa kweli kweli na kukosa nguvu ya kureact kama zamani hivyo kuwa ngumu kdg kuambukiza mtu mwingne, ndo maana unashauriwa kuanza dozi mapema mara tu baada ya kuambukizwa sio kwa ajili ya afya yako tu bali pia afya ya mwenza wako.
Ahsante sana my dear, nakuelewa vzr
 
Mbona unakula chakula kila siku.
Unapoenda kulala unakunywa dawa zako maisha yanaendelea.
Binafsi nawashukuru sana waliotengeneza RV na mamlaka zinazotoa hizo dawa kwa wahusika bure.
Bila hivyo lingekuwa janga la dunia.
Kumeza dawa kila siku kunachosha sana mkuu. Last year nilipewa dozi ya presha ninywe miezi 2 kabla ya kujifungua lakini nilishindwa kuna namna muda wa kunywa dawa ukifika hali fulani unaipata inakuchosha hasa ile harufu ya dawa. Sasa imagine ndio maisha yako yote
Vijana tuplay safe, matumizi ya kinga na kuwa waaminifu
 
Kumeza dawa kila siku kunachosha sana mkuu. Last year nilipewa dozi ya presha ninywe miezi 2 kabla ya kujifungua lakini nilishindwa kuna namna muda wa kunywa dawa ukifika hali fulani unaipata inakuchosha. Sasa imagine ndio maisha yako yote
Vijana tuplay safe, matumizi ya kinga na kuwa waaminifu
Unajijengea kama mlo wako wa kila siku, ukichukulia kama dawa utachoka mapema
 
Tukutane wote wenye virusi vya ukimwi na kuelezana ulijisikiaje ulipoambiwa kuwa una upungufu wa kinga mwilini?

Mimi nakumbuka ilikuwa 2020, mwezi wa 7 tarehe 17 nilipima katika hospitali moja ya mgodini, na kugundulika kuwa nina maambukizi, taarifa hiii ilikuwa mbaya sana kwangu ila baada ya hapo nilizoea na sasa naishi vyema kwa matumaini.

Twambie wewe mdau ulijisikiaje?

NB: Tutumie lugha safi yenye staha, tusibaguane wala kunyayapaana.

Akhsante.
Wazungu ni nyoko sana
 
Ngoja matomaso waje waseme wenye UKIMWI waweke picha zao waonekane sura zao. Hii mada itaishia hapo
 
Back
Top Bottom