Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

dah wenge lili kuwa jingi ehh?, halafu 2017 chuo hiyo?
 
Mkuu,
Mimi kwa mtutu wa bunduki ndio nitapima, au niumwe ile ya kubebwa ndio nitapima..short of that sidhani...
Mkuu ume nichekesha Sana, acha uoga mzee mbona kawaida.

binafsi siogopi kupima saa au muda wowote, I feel great, naona Kama ni challenge ya kawaida.
 
Rafiki ndio uka ninyima ramani ya ule mjengo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…