ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Nikikuambia afya yangu utalia😂Ili kujua tu utimamu wa afya zetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikikuambia afya yangu utalia😂Ili kujua tu utimamu wa afya zetu
Hapana siwezi lia. Wanaume huwa hawaliiNikikuambia afya yangu utalia😂
Sikuenda kupima! Ngoma sina cz sina mafua wala kikohozi😂Hapana siwezi lia. Wanaume huwa hawalii
Twende tukacheki afya. Ili tusiishi kwa mshaka kama digidigi.Sikuenda kupima! Ngoma sina cz sina mafua wala kikohozi😂
Wewe nenda uje kunipa majibu yakoTwende tukacheki afya. Ili tusiishi kwa mshaka kama digidigi.
Umeambiwa ndio dalili hizo? Mafua na kikohozi ni normal in oir daily lifeSikuenda kupima! Ngoma sina cz sina mafua wala kikohozi😂
Hii siyo guarantee ya kukwepa maambukizi ya VVU.kuwa na mtu mmoja kwenye mahusiano
Inategemea wanatumia vipimo gani.Kuna hospitali binafsi ipo Singida nasikia hata ukiwa HIV positive majibu unapewa negative!!
Unaweza ukawa nao lakini usimuambukize mwenza wako, huwa najiuliza kwa nini virus vikae kwenye majimaji yaan ute wa mwanamme na mwanamke na si kwenye shahawaHii siyo guarantee ya kukwepa maambukizi ya VVU.
Mwenza anaweza uza mechi kavu kavu akakanyaga live 'hot wire' akakuunguza na wewe.
Hakuna shida hata ikisomeka hivyoModerators badilisheni title ya uzi, ukimwi usomeke maambukizi ya VVU.
#LanguageSensitivity#
Huzuni ya Nini wewe!!?Huu uzi kila nikirefresh page naona upo on trending nashindwa kujizuia kuufunga
Anayeweza kublock uzi naomba anielekeze, sitaki niendelee kujisikia huzuni.
Mnapendaaaaa kusikia mtu ana Ngoma😂Huzuni ya Nini wewe!!?
Kwani...!!?usijali !nasikia ukitumia zile njugu miezi SITA mfululizo unakua negative kabisa yaani ukipima huonekani kuwa positive!!!!!
SAWA mabusu moto moto!!Hakuna shida hata ikisomeka hivyo
Nimecheka kishenzi we jamaa!!"mwendo wa kuaga maiti"😂😂😂😂😂😂😂😂Tunaupitia huu uzi kimya kimya kama mwendo wakuaga maiti. respect Grid
Hamna man !nashangaa we unaogopa !unaogopa nini wewe!!?Mnapendaaaaa kusikia mtu ana Ngoma😂
Tupo wengi, tunapita kimya kimya tu. Nina mwenzangu mmoja ni wakili mzuri tu. Jamaa yule ni jasiri sijawahi kuona, yaani yuko wazi kwa kila mtu. Mkisafiri kikazi, mmekaa kwenye starehe, ukifika muda wa kumeza dawa zake anaagiza muhudumu anamfatia kwenye gari anameza alafu stori zinaendelea. Wengine mpaka tujifiche yaani shida tupu.Pole sana ndugu, humu jf mwenye UKIMWI ni wewe tu. sisi members wengine tumetoka kupima hivi karibuni kila mmoja yuko -ve.
Eeeh jamaa ule mwendo si unauonaga ulivyo😂😂😂 wa mnyato halafu kimya kimya. 😂😂Nimecheka kishenzi we jamaa!!"mwendo wa kuaga maiti"😂😂😂😂😂😂😂😂
Ulizaliwa nao au?Tupo wengi, tunapita kimya kimya tu. Nina mwenzangu mmoja ni wakili mzuri tu. Jamaa yule ni jasiri sijawahi kuona, yaani yuko wazi kwa kila mtu. Mkisafiri kikazi, mmekaa kwenye starehe, ukifika muda wa kumeza dawa zake anaagiza muhudumu anamfatia kwenye gari anameza alafu stori zinaendelea. Wengine mpaka tujifiche yaani shida tupu.