Kijana Mpole
JF-Expert Member
- Nov 17, 2016
- 235
- 212
- Thread starter
- #141
Karibu tunatengenezaNataka machine ya kusaga plastics
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu tunatengenezaNataka machine ya kusaga plastics
Inawezekana mkuu karibuMkuu kuna incubator za umeme je inawezekana kubadilisha ili itumie gas?
Ahsante sana kwa kujibu. Umejitahidi sana. Naona uko mechanical mno. Kwani huwezi kuwa na mashine imara na ikawa na finishing nzuri? Zipo za kijerumani. Jaribuni kutafuta finishing.Mkuu nashukuru kwa kuelewa na baadhi hujaelewa finishing sio uimara wa mashine pia kwenye sensor hilo nilijibu inawezekana hakuna mashine inayoweza kugoma sensor husika ni hitaji la kila mtu ukiwa serious karibu
PIA NIKURUDISHE NYUMA USISEME ILI HALI NCHI ZETU NDIO ZINAKUA SASA VITU VINGI TUNA IMPORT AU HUJUI HILO?
Pia nikueleze kama hujui mashine zipo automatic kila kitu inaosha yenyewe inapeleka kwenye kinu cha kukoboa then kusaga then packaging inawezekana mtu mmoja tu operator na
Hata sensor kupima unyevu au ujazo n.k inawezekana
Pia kuhusu technologia ukisema mashine zote zinatoa kila kitu sio hivyo labda ulizoshuhudia hapo katika kukoboa kuna vitu vingi nikikueleza ukaone mashine Tandale tumemtengenezea inakutolea ganda tu
Tunaita parazo sasa hilo ni hitaji la kila mtu
Karibu tunatengeneza
Tunaweza kutengeneza mkuu karibu tuongee utatengenezewa nitafuteMngeteneza brush Cutter za za Petrol 52cc 2 stroke au 4 str engine oil mngetusaidia wengi
Inaweza kutengenezwa mkuu lakini kuhusu gharama hii ni lazima sisi nawe tukae kwa pamoja ndugu karibu sanaVipi mashine za kuprocess gogo kuwa mbao? Zinazotumia petrol Mnaweza tengeneza, na gharama yake ipoje? Mashine iwe mobile ya kuvuta kama trailer ama caravan.View attachment 1749622
Naomba kufahamu ile inayokoboa mpunga kama panya. Ukiachana na za wachina zipo mnazozitengeneza za namna ile?Mashine za kusaga na kukoboa karibu utengenezeweView attachment 1759121
Machine ya kugandisha mabarafu makubwa kwa ajili ya biashara sehemu ambako hakuna frijiMashine za kusaga na kukoboa karibu utengenezeweView attachment 1759121
Kuna uzi wake ndugu yangu hizo ni za kichina labda ukihitaji ya lambalamba ipo ya kutengeneza hapa hapaMashine za Ice cream hujaelezea mkuu tunasubiri
Hiyo ipo ndugu inatengeneza kutokana na hitaji lako kuanzia kg 5,10, n.k hizo blocks maana huwa na moulds kuendana na hitaji lakoMachine ya kugandisha mabarafu makubwa kwa ajili ya biashara sehemu ambako hakuna friji
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutengenezwa inawezekana mkuu karibu sanaNaomba kufahamu ile inayokoboa mpunga kama panya. Ukiachana na za wachina zipo mnazozitengeneza za namna ile?
Hizo za lambalamba pia hujaelezea.Kuna uzi wake ndugu yangu hizo ni za kichina labda ukihitaji ya lambalamba ipo ya kutengeneza hapa hapa
Kama hii bei gani?Hiyo ipo ndugu inatengeneza kutokana na hitaji lako kuanzia kg 5,10, n.k hizo blocks maana huwa na moulds kuendana na hitaji lako View attachment 1768309View attachment 1768312
boss kama hii bei ganiMashine ya kukausha vitu mbalimbali kama dagaa mboga mboga View attachment 1749529View attachment 1749530View attachment 1749531View attachment 1749532