Uzi Maalumu /Mahojiano na Kumkaribisha tena Uraiani Deo Kisandu aka Don Nalimison The Great

Uzi Maalumu /Mahojiano na Kumkaribisha tena Uraiani Deo Kisandu aka Don Nalimison The Great

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Ni siku chache tu zilizopita nliandika katika uzi mmoja Siku ya kumtembelea Deo Kisandu Jamaa yetu JF

Kumkumbuka Huyu Mwamba katika Medani za Siasa hapa Tanzania. Aliyejikusanyia wafuasi wengi vijana kwa wazee hasa kutokana na misimamo yake dhabiti Isiyoyumba ambayo hata ilisababishwa afungwe gerezani.

Shujaa ametoka kama Mandela na anasisitiza bado ana damu ya kupambana kuleta ukombozi kwa Taifa hili.

Mwamba huyu ambaye ametoka na kuwekwa chini ya ulinzi mkali kila anapoenda ili kuhakikisha hawezi mobilize watu wakaamua kuchukua maamuzi jiwe.yaani maamuzi magumu.

Sera zake Deogratias Nalimi Kisandu ni zile za WEKA UGOKO NAWEKA JIWE. ambazo zimeonekana kuwa na ufumbuzi mkubwa wa matatizo ya kiuchumi na kisiasa hapa nchini.

Kesho nitamwomba hapa nimfanyie mahojiano maalum kabla hajaanza hojiwa na CNN,BBC,SKY NEWS,AL JAZEERA,TBC,CBN,DW n.k

Karibu sana mh Don Nalimison jisikie upo home. Naomba kesho nikufanyie mahojiano.
 
Ni siku chache tu zilizopita nliandika katika uzi mmoja Siku ya kumtembelea Deo Kisandu Jamaa yetu JF

Kumkumbuka Huyu Mwamba katika Medani za Siasa hapa Tanzania. Aliyejikusanyia wafuasi wengi vijana kwa wazee hasa kutokana na misimamo yake dhabiti Isiyoyumba ambayo hata ilisababishwa afungwe gerezani.

Shujaa ametoka kama Mandela na anasisitiza bado ana damu ya kupambana kuleta ukombozi kwa Taifa hili.

Mwamba huyu ambaye ametoka na kuwekwa chini ya ulinzi mkali kila anapoenda ili kuhakikisha hawezi mobilize watu wakaamua kuchukua maamuzi jiwe.yaani maamuzi magumu.

Sera zake Deogratias Nalimi Kisandu ni zile za WEKA UGOKO NAWEKA JIWE. ambazo zimeonekana kuwa na ufumbuzi mkubwa wa matatizo ya kiuchumi na kisiasa hapa nchini.

Kesho nitamwomba hapa nimfanyie mahojiano maalum kabla hajaanza hojiwa na CNN,BBC,SKY NEWS,AL JAZEERA,TBC,CBN,DW n.k

Karibu sana mh Don Nalimison jisikie upo home. Naomba kesho nikufanyie mahojiano.

Aksante Mkuu, nilikuwa mbali Sana na sema aksante kwa taarifaa.
 
Mwambieni,awasiliane na uongozi wa JF,tuone jinsi ya kumchangia pesa.
 
Ninaswali moja kwako.
Kwanini kila mtu kuanzia walimu,majirani,serikali,kanisa,Idara za usalama nk nk zote inaonekana zinakuchukia na zinafanya kila jambo ili kukushusha au kukudhalili kiuchumi,kisiasa na kiuchumi kwa mujibu ea mada zako humu jamvini.
What special about you.?
Kwanini iwe wewe tu?
Kuna ukweli juu ya madai yako hayo.?

Uko sahihi. Kuna Jambo moja unapaswa kufahamu, system huwa haitaki watu ambao ni Negativism Bali inataka watu ambao ni Positivism kwa masilahi ya kifisadi na ubinafsi. Mimi Kama ningekuwa Rais ningeacha watu wafanye Kama wanavyotaka ili mradi wasivuke mipaka ya nchi.

Kinachoendelea Marekani leo jamii yote imekuwa Negativism mpaka system yenyewe kuashiria ni nchi ya wazalendo. Hivyo Mimi ni Importance Negativism na ndio maana nachukiwa Sana na unatakiwa kuwa Adventure. Na ndivyo nimeamua hivyo.
 
Hapana mimi sidhani kama hili jibu lajitosheleza. Kwanini iwe weww uchukiwe na kila mtu.? Kumbuka wewe ni mwalimu tu, huna ushawishi kiasi hicho kwa raia.
What special about you.? Apart from your negativism..! Sidhani kama wewe ni mkosoaji kama zitto au lema nk.

Lakini je yale uliyokua unaandika kwenye ukurasa wako wa FB [Matusi] unaona ilikua ni sahihi.? Yalikua yanafaa.? Yalisaidia vipi kwenye harakati zako za kisiasa.?

Asante Sana. Sikuandika matusi na ninakuwekea hati ya kesi iliyonifunga. Yale ni maneno ambayo kisheria kupitia kamusi sio matusi Bali watanzania hamjasoma na ndio maana mahakama haikusema Kama nimetukana Bali ilinishitaki kwa kutoa taarifaa za uongo. Mimi ni mwalimu kweli lakini Mimi sio mwalimu mjinga Kama wengine.
IMG_20200628_154936_673.jpg
 
Asante Sana. Sikuandika matusi na ninakuwekea hati ya kesi iliyonifunga. Yale ni maneno ambayo kisheria kupitia kamusi sio matusi Bali watanzania hamjasoma na ndio maana mahakama haikusema Kama nimetukana Bali ilinishitaki kwa kutoa taarifaa za uongo. Mimi ni mwalimu kweli lakini Mimi sio mwalimu mjinga Kama wengine.View attachment 1492256
Dah, uliwasingizia mambo mazito sana.
 
Don Nalimison tuambie maisha yako ya jela toka siku ya kwanza yalikuaje

Nilipokuwa mahabusu Butimba mwaka 2018 niliugua Sana mapele hasa matakoni maana sikuwa na mtu yeyote wa kuniletea nguo gerezani, na nilipofungwa 28/6/2018 niliumia Sana pale hakimu amenihukumu miaka3 au faini ya Laki5 halafu nafika gerezani nataka kulipa faini ili niachiwe huru maaaskari magereza wakaniambia hati ya kifungo Haina faini, nililalamika Sanaa, maaaskari Butimba gereza wakachukia Sana wakaamua kunihamishia Gereza la Kilimo kitengule_kyaka, Kagera manamo tar 10/01/2019, hapo Kitengule nilitolewa kafara ya wafungwa majambazi kwani Maaaskari wa kikosi maalum Cha Magereza(K.M) walikuwa wananitembezea kipigo kisicho Cha kawaida kipindi nimefika. Fimbo za kumwaga mgongoni, kupigwa kichwani na kuumuka kichwa, kulazwa kwenye matope na kulala nayo ndani ya sell bila kuoga . Yote haya yalikuwa yanafanyika kwa mfungwa mmoja tu ambaye nimimi. Tena nikizihakiwa kwa jina la TICHA. Kitengule ukisema TICHA utaambiwa mateso yote niliyoyapata.

Maaaskari wengine walikashifu eti kanajiona kana degree lakini tumelichakaza li degree kwenye matope na TICHA kadharaulika gereza zima. Maneno ya fedheha yalinichoma Sana. Nawashukuru Maafisa was gereza wenye kuanzia Nyota moja na kuendelea waliamua kuniokoa akiwemo Dr. Andrew aliyeniweka Zahanati kufanya matibabu kàma ODEL akishirikiana na Mvungi ili kuninusuru vipigo vya Kila siku. Lakini pia Sttaff Sajenti Julius na Sajenti Sebastian wote wa Admission office, walinipa sapoti kubwa Sana ya kujifua kisheria ikiwemo kuandika Rufaa za wafungwa, maombi na viapo n.k

Na baadae nikipewa nafasi ya Unyampara hewa.ambayo kimsingi niliutumia Unyampara kuwaelimisha zaidi wafungwa na mahabusu maswala mbalimbali ya kimaisha na kijamii japonilipandikiziwa chili kwa manyampara wenzangu na hawakutaka kunisapoti zaidi waliogopa kupigwa au kutumbuliwa.
 
Nilipokuwa mahabusu Butimba mwaka 2018 niliugua Sana mapele hasa matakoni maana sikuwa na mtu yeyote wa kuniletea nguo gerezani, na nilipofungwa 28/6/2018 niliumia Sana pale hakimu amenihukumu miaka3 au faini ya Laki5 halafu nafika gerezani nataka kulipa faini ili niachiwe huru maaaskari magereza wakaniambia hati ya kifungo Haina faini, nililalamika Sanaa, maaaskari Butimba gereza wakachukia Sana wakaamua kunihamishia Gereza la Kilimo kitengule_kyaka, Kagera manamo tar 10/01/2019, hapo Kitengule nilitolewa kafara ya wafungwa majambazi kwani Maaaskari wa kikosi maalum Cha Magereza(K.M) walikuwa wananitembezea kipigo kisicho Cha kawaida kipindi nimefika. Fimbo za kumwaga mgongoni, kupigwa kichwani na kuumuka kichwa, kulazwa kwenye matope na kulala nayo ndani ya sell bila kuoga . Yote haya yalikuwa yanafanyika kwa mfungwa mmoja tu ambaye nimimi. Tena nikizihakiwa kwa jina la TICHA. Kitengule ukisema TICHA utaambiwa mateso yote niliyoyapata.

Maaaskari wengine walikashifu eti kanajiona kana degree lakini tumelichakaza li degree kwenye matope na TICHA kadharaulika gereza zima. Maneno ya fedheha yalinichoma Sana. Nawashukuru Maafisa was gereza wenye kuanzia Nyota moja na kuendelea waliamua kuniokoa akiwemo Dr. Andrew aliyeniweka Zahanati kufanya matibabu kàma ODEL akishirikiana na Mvungi ili kuninusuru vipigo vya Kila siku. Lakini pia Sttaff Sajenti Julius na Sajenti Sebastian wote wa Admission office, walinipa sapoti kubwa Sana ya kujifua kisheria ikiwemo kuandika Rufaa za wafungwa, maombi na viapo n.k na baadae nikipewa nafasi ya Unyampara hewa.ambayo kimsingi niliutumia Unyampara kuwaelimisha zaidi wafungwa na mahabusu maswala mbalimbali ya kimaisha na kijamii japonilipandikiziwa chili kwa manyampara wenzangu na hawakutaka kunisapoti zaidi waliogopa kupigwa au kutumbuliwa.

Ni kweli una degree na umesoma chuo gani? ...Style na ubora wa uandishi wako havifanani na vya mtu msomi wa ngazi ya degree (tena aliyebeba jukumu la kuelimisha jamii)!
 
Back
Top Bottom