[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Don Nalimison the great ni role mode wangu, na mimi nikikua mkubwa nataka niwe kama Deo mawana wa kisandu.Fayaaaa...na kweli mkuu usitishwe na kazi..kazi kitu gani kwanza .wewe endelea na mapambano
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Don Nalimison the great ni role mode wangu, na mimi nikikua mkubwa nataka niwe kama Deo mawana wa kisandu.
Kutoka kwake mi ningependa kujua, tokea alipoanza kutumikia kifungo alipata habari zozote kuhusu mchumba na mke wake mtarajiwa Malia Obama.
Je alipokea barua/ujumbe wowote toka kwa Malia wa kumfariji na kumtia nguvu katika harakati na changamoto anazokutananazo?
Sitishiki na kazi maana serikali yenyewe inajua nilikua jela.
Kuna chochote ulichojifunza jela cha kuyafanya maisha yako baada ya jela kuwa yenye tija?
Ninakupa credit kwa kutokuwa na ujasiri bandia wa nyuma ya keyboard kama ule wa agitators walio wengi. Uko tayari kubeba msalaba kwa kauli na matendo yako!
mzee unawaharibia kazi hawa maaskari daaah kwa nn unawataja majina????Nilipokuwa mahabusu Butimba mwaka 2018 niliugua Sana mapele hasa matakoni maana sikuwa na mtu yeyote wa kuniletea nguo gerezani, na nilipofungwa 28/6/2018 niliumia Sana pale hakimu amenihukumu miaka3 au faini ya Laki5 halafu nafika gerezani nataka kulipa faini ili niachiwe huru maaaskari magereza wakaniambia hati ya kifungo Haina faini, nililalamika Sanaa, maaaskari Butimba gereza wakachukia Sana wakaamua kunihamishia Gereza la Kilimo kitengule_kyaka, Kagera manamo tar 10/01/2019, hapo Kitengule nilitolewa kafara ya wafungwa majambazi kwani Maaaskari wa kikosi maalum Cha Magereza(K.M) walikuwa wananitembezea kipigo kisicho Cha kawaida kipindi nimefika. Fimbo za kumwaga mgongoni, kupigwa kichwani na kuumuka kichwa, kulazwa kwenye matope na kulala nayo ndani ya sell bila kuoga . Yote haya yalikuwa yanafanyika kwa mfungwa mmoja tu ambaye nimimi. Tena nikizihakiwa kwa jina la TICHA. Kitengule ukisema TICHA utaambiwa mateso yote niliyoyapata.
Maaaskari wengine walikashifu eti kanajiona kana degree lakini tumelichakaza li degree kwenye matope na TICHA kadharaulika gereza zima. Maneno ya fedheha yalinichoma Sana. Nawashukuru Maafisa was gereza wenye kuanzia Nyota moja na kuendelea waliamua kuniokoa akiwemo Dr. Andrew aliyeniweka Zahanati kufanya matibabu kàma ODEL akishirikiana na Mvungi ili kuninusuru vipigo vya Kila siku. Lakini pia Sttaff Sajenti Julius na Sajenti Sebastian wote wa Admission office, walinipa sapoti kubwa Sana ya kujifua kisheria ikiwemo kuandika Rufaa za wafungwa, maombi na viapo n.k na baadae nikipewa nafasi ya Unyampara hewa.ambayo kimsingi niliutumia Unyampara kuwaelimisha zaidi wafungwa na mahabusu maswala mbalimbali ya kimaisha na kijamii japonilipandikiziwa chili kwa manyampara wenzangu na hawakutaka kunisapoti zaidi waliogopa kupigwa au kutumbuliwa.
Mkuu Don Nalimison nikiwa kama mdau wako kwa niaba ya fans wako wengine huku tupiamo kapicha tukufahamu mkuuAksante Mkuu, nilikuwa mbali Sana na sema aksante kwa taarifaa.
Unawataja hawa waliokusaidia. Unaweza ukawaharibia. Hakuwa na sababu ya kuwataja majina. Futa majina yao...Nilipokuwa mahabusu Butimba mwaka 2018 niliugua Sana mapele hasa matakoni maana sikuwa na mtu yeyote wa kuniletea nguo gerezani, na nilipofungwa 28/6/2018 niliumia Sana pale hakimu amenihukumu miaka3 au faini ya Laki5 halafu nafika gerezani nataka kulipa faini ili niachiwe huru maaaskari magereza wakaniambia hati ya kifungo Haina faini, nililalamika Sanaa, maaaskari Butimba gereza wakachukia Sana wakaamua kunihamishia Gereza la Kilimo kitengule_kyaka, Kagera manamo tar 10/01/2019, hapo Kitengule nilitolewa kafara ya wafungwa majambazi kwani Maaaskari wa kikosi maalum Cha Magereza(K.M) walikuwa wananitembezea kipigo kisicho Cha kawaida kipindi nimefika. Fimbo za kumwaga mgongoni, kupigwa kichwani na kuumuka kichwa, kulazwa kwenye matope na kulala nayo ndani ya sell bila kuoga . Yote haya yalikuwa yanafanyika kwa mfungwa mmoja tu ambaye nimimi. Tena nikizihakiwa kwa jina la TICHA. Kitengule ukisema TICHA utaambiwa mateso yote niliyoyapata.
Maaaskari wengine walikashifu eti kanajiona kana degree lakini tumelichakaza li degree kwenye matope na TICHA kadharaulika gereza zima. Maneno ya fedheha yalinichoma Sana. Nawashukuru Maafisa was gereza wenye kuanzia Nyota moja na kuendelea waliamua kuniokoa akiwemo Dr. Andrew aliyeniweka Zahanati kufanya matibabu kàma ODEL akishirikiana na Mvungi ili kuninusuru vipigo vya Kila siku. Lakini pia Sttaff Sajenti Julius na Sajenti Sebastian wote wa Admission office, walinipa sapoti kubwa Sana ya kujifua kisheria ikiwemo kuandika Rufaa za wafungwa, maombi na viapo n.k na baadae nikipewa nafasi ya Unyampara hewa.ambayo kimsingi niliutumia Unyampara kuwaelimisha zaidi wafungwa na mahabusu maswala mbalimbali ya kimaisha na kijamii japonilipandikiziwa chili kwa manyampara wenzangu na hawakutaka kunisapoti zaidi waliogopa kupigwa au kutumbuliwa.
Ndo maanaSebastian Kolowa University College of Tumaini University...Lushoto.Tanga
Hizo dharau, usijione bora kuliko mwenzako wala usijivunie akili mkuu.Ndo maana
Ok. Na je suala la kulala mnalala.mnalala wangapi kwa utaratibu gani. Ni sehem kbwa wote mnachanganywa au kuna vyumba? Suala la kunguni viroboto na mbu likoje?
Umenufaika nini na kuwa jela? Ok ngoja niweke sawa umetoka na ujuzi wowote?
Umejifunza nini huko?
Na kwa nini wakupe adhabu kali kali kama wewe ni gaidi?
Huoni kuwa wafungwa wa jinsia tofauti wakichanganywa italeta mimba zisizotarajiwa, magonjwa ya zinaa, kupunguza kwa ufanisi wa kazi,wivu wa mapenzi na visa vyake e.t.c?
Ni lini utaachia kitabu chako cha DOGUMA TAKATIFU?