Uzi maalumu: Mtakie asubuhi njema umpendaye hapa JF na kumpa baraka za kuanza siku njema

Daaaahhhh.

Umetiririka hadi nimeishiwa point.

Labda tukikutana pale garden Area C nitatiririka na kuserereka hadi kuserebuka barabara.

Ahsante sana rafiki yangu wa nguvu Demiss.

Na mimi nakutakia mchana mwema wenye baraka tele!!
Kumbe na ww ni wa idodomia??
 
Kumbe ndo mana lazma sa 11 uwe macho alafu unarud kulala...nmejua siri
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Mimi ni miongoni mwa wale mnaopenda kuwasema vibaya
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] nilitaka kushangaa kwa ule msosi wa juzi ulionikaribisha utakuwaje wa dodoma
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] nilitaka kushangaa kwa ule msosi wa juzi ulionikaribisha utakuwaje wa dodoma
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ule msosi nilidownload bana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…