Uzi maalumu: Mtakie asubuhi njema umpendaye hapa JF na kumpa baraka za kuanza siku njema

Just wanted to say good morning to one of the person that means the world to me.

Good morning cha mdeko!
Japo nimechelewa kukusalimia kaka angu
Unajua sasa hivi mm mke wa mtu majukumu ya asubuhi yananibana nisamehe sana .
 
Dah hapa ilikuwa bado hapa 😀 😀 🙁 😀
 
Asubuhi njema member wote wa jf nawatakia siku njema na yenye baraka tele,barikiweni sana.

aitiviiiiiiii,maraaaaa!!!
 
Asubuhi njema na siku njema
Uzuni ,upole,ukarimu wanakusalimia. Furahana unyenyekevu wapo njiani wanakuja kwako ila taabu na shida hawatakuja kwasababu wote wanaumwa.

Mawazo mashaka na kukata tamaa wapo jela.
Ushindi utajiri na amani wapo njiani wanakuja

Uwe na asubuhi njema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…