Uzi maalumu: Mtakie asubuhi njema umpendaye hapa JF na kumpa baraka za kuanza siku njema

Uzuni ,upole,ukarimu wanakusalimia. Furahana unyenyekevu wapo njiani wanakuja kwako ila taabu na shida hawatakuja kwasababu wote wanaumwa.

Mawazo mashaka na kukata tamaa wapo jela.
Ushindi utajiri na amani wapo njiani wanakuja

Uwe na asubuhi njema
Na wewe pia uwe na Asubuhi njema na siku njema yenye baraka tele.
 
Nikutakie asubuhi njema Swahiba wangu wa nguvu ndani ya jf BAK uwe na asubuhi njema yenye kila la kheri kwako.

Pole kwa yaliyokukuta kwa kula BAN [emoji12] ila kwa kuwa imeshapita zidi kusonga mbele.

Karibu tena. [emoji8]
 
Na wewe pia uwe na Asubuhi njema na siku njema yenye baraka tele.
Asubuhi imefika ni muda wa kujiandaa na pilika, lakini kazini ukifika usisahau
kutumia japo nusu dakika rafiki zako salamu kuwapa, swawabu utapata! Asubuhi
njema.
*°·.¸¸.° [emoji813] °·.¸¸.°
 
Nikutakie asubuhi njema Swahiba wangu wa nguvu ndani ya jf BAK uwe na asubuhi njema yenye kila la kheri kwako.

Pole kwa yaliyokukuta kwa kula BAN [emoji12] ila kwa kuwa imeshapita zidi kusonga mbele.

Karibu tena. [emoji8]
Shikamooo my yum yum sisy[emoji182][emoji182][emoji182][emoji182]
 
Katika maisha nimejifunza mambo mengi ikiwemo,. Kupendwa, kupenda, kusamehe, kuvumilia, lakini nimeshindwa kujifunza kukusahau wewe kwa sababu umekuwa ukinikumbuka sana..

Mme wangu Jr uwe na asubuhi njemaa wewe ndo mwanaume wa maisha yangu na hilo halina mpinzani.
 
Am humbled my lovely soul... Kci n Jojo tell me its real
 
Shukrani sana la azizi wangu. Kwenye mapambano ya Taifa letu dhidi ya hawa wahuni na genge lao kuna vikwazo mbali mbali ikiwemo humu pia.

Je, najutia nilichokifanya!? WALAA SIJUTII na nitakirudia wakati wowote kwani naamini JF ndiyo sehemu ambayo Watanzania wengi wana pata habari za kweli kuhusu yanayojiri nchini kuliko chombo kingine chochote kile cha habari.

Uwe na siku na kazi njema mrembo.
[emoji7][emoji7][emoji182][emoji182][emoji8][emoji8]

Nikutakie asubuhi njema Swahiba wangu wa nguvu ndani ya jf BAK uwe na asubuhi njema yenye kila la kheri kwako.

Pole kwa yaliyokukuta kwa kula BAN [emoji12] ila kwa kuwa imeshapita zidi kusonga mbele.

Karibu tena. [emoji8]
 
Sawa nimekuelewa sana tu. Nadhani na wao wamekusoma na kukuelewa pia.

Ahsante sana nashukuru BAK. Nawe pia uwe na mwanzo mzuri wa wiki wenye wingi wa baraka tele. [emoji7][emoji7][emoji182][emoji8]
 
Pole sana kaka...
 
Na wewe pia uwe na Asubuhi njema na siku njema yenye baraka tele.
GOOD [emoji4] MORNING!
[emoji297][emoji92][emoji92][emoji297][emoji92][emoji92][emoji297]
[emoji92][emoji92][emoji92][emoji92][emoji92][emoji92][emoji92]
[emoji92][emoji92][emoji92][emoji92][emoji92][emoji92][emoji92]
[emoji297][emoji92][emoji92][emoji92][emoji92][emoji92][emoji297]
[emoji297][emoji297][emoji92][emoji92][emoji92][emoji297][emoji297]
[emoji297][emoji297][emoji297][emoji92][emoji297][emoji297][emoji297]
[emoji258]
 
Morning my heartbeat Smart911 the great king. It's furahi day swirr amich uuuuu mimi alavyuuuuuuuuuuuuuuuu!!! [emoji182] [emoji182] [emoji182] [emoji173] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…