Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walimwengu sijui wakoje, nimejifunza mengi.Kumekucha kipenzi rafiki jana sijakuona umepatwaa na nn ?
Ukimyaaa wako unatishaa siyo kawaida
[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Walimwengu sijui wakoje, nimejifunza mengi.
Maumivu niliyonayo sidhani kama yanaweza kuisha
Bado nipo kitandani hadi muda huu naugulia maumivu yasiyokuwa na kifani.
Naomba nikutakie Asubuhi njema, yenye Amani, Baraka, Upendo kwa watu wote!!!
Hatuna budi kumshukuru Mungu kwa kutujalia pumzi kwa siku ya leo..[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Kwaniiiii haujahamia kuleee?Shikamooo mme wanguuu
Salama kabisa...msalimie brother. Amenisahau,ipo siku nitamkumbusha.Mkuu salamaaa
Pole sana mkuu mwifwa.Walimwengu sijui wakoje, nimejifunza mengi.
Maumivu niliyonayo sidhani kama yanaweza kuisha
Bado nipo kitandani hadi muda huu naugulia maumivu yasiyokuwa na kifani.
Naomba nikutakie Asubuhi njema, yenye Amani, Baraka, Upendo kwa watu wote!!!
Unatema codes kama BujibujiHatuna budi kumshukuru Mungu kwa kutujalia pumzi kwa siku ya leo..
Asubuhi njema na uwe na siku njema.
Ahsante sana mkuuPole sana mkuu mwifwa.
HahahahaaaUnatema codes kama Bujibuji
Pamoja sana brother...!Ahsante sana mkuu
Amewakimbiza watu kule.Hahahahaaa
Wenye meno ndio wanaweza kula nyama zenye mifupaAmewakimbiza watu kule.
Sure...halafu katulia anaangalia poyoyo za wanaJF.Wenye meno ndio wanaweza kula nyama zenye mifupa
Daaaahh!!Mambooo kipenzi rafiki unajua leo nina furaha sana unajua kwann ?
Ewaaaaah sitaki ujue kwann?
Woow!!....Nimtakie asubuhi njema yenye kila la kheri rafiki yangu kipenzi Davet. Naamini kila ukaapo unajua nafasi uliyo nayo katika moyo wa Hajar iwe ni katika kushauriana, kuelekezana na hata kukosoana.
Uwe na asubuhi njema rafiki pia jua siku zote Hajar anakuombea kwa Allah azidi kukupa busara na utulivu katika kufanya maamuzi yaliyo bora katika mambo yako mbalimbali unayokutana nayo.
Ubarikiwe sana rafiki. Insha Allah.
Ahsante sana rafiki.Woow!!....
Shukrani sana rafi yangu kwa ujumbe mzuri kama wewe, nimegurahi sana umenikumbuka asubuhi asubuhi hii inaonyesha ukubwa gani nilionao kwako..
Yale yote ulioniombea yawe na kwako pia rafiki nikutakie asubuhi njema na Mola akutangulie katika kila jambo ulitendalo...
Inshaalah...
Amina....
Habari za asubuh dada angu kipenzi nikupendayeee kwa dhatiii[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji182][emoji182][emoji182][emoji182][emoji182][emoji182][emoji182][emoji8]Nimtakie asubuhi njema yenye kila la kheri rafiki yangu kipenzi Davet. Naamini kila ukaapo unajua nafasi uliyo nayo katika moyo wa Hajar iwe ni katika kushauriana, kuelekezana na hata kukosoana.
Uwe na asubuhi njema rafiki pia jua siku zote Hajar anakuombea kwa Allah azidi kukupa busara na utulivu katika kufanya maamuzi yaliyo bora katika mambo yako mbalimbali unayokutana nayo.
Ubarikiwe sana rafiki. Insha Allah.