Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Pole sana utapona hivi karibuniAsante cha mdeko wako naumwa jino
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana utapona hivi karibuniAsante cha mdeko wako naumwa jino
umechezea tena ban mkuuHuu uzi kuna mtu litaibiwa soon
amiiiinnn amiinnnnhearly nikutakie asubh njema iliojaa aman,upendo,furaha ,tabasamu na kila aina ya vipepeo wanaopepea na maua mazuri kuipendezesha asubuhi yako
Ni mm rafik yako uliyenifundisha Jf
Aaaaamin amin mtumish wa bwanaamiiiinnn amiinnnn
asubuhi njema iwe na mfanano wa simuliza nzuri za bustani ya eden dhidi yako...siku nzima yaleo tabasamu lipate kutawala usoni mwako...mungu akuepushie Shari na hasadi zakidunia...barabara utakayopaswa kupita iliuweze kufikia ile dream come true...ipate kuwa nyoofu iliyotolewa vigingi maishani mwako...
tena siku iwe njema zaid iliyojaa mwangaza wenye Nuru njema kwako
have a nice day boss
haya kuhusu ...ovyooooooAaaaamin amin mtumish wa bwana
Ila usisahau yule binti anataka talaka yake
Niko poa kbs cjui wewe
Mie sijambo kabisa yaani namshukuru Mwenyezi Mungu. Ahsante sana kwa kunikumbuka.Niko poa kbs cjui wewe
Wote hadi huku JfPrimary? Secondary? College? Unamaamisha wote?
Nawe pia,nikutakie siku njema,full high day njema zaidiMie sijambo kabisa yaani namshukuru Mwenyezi Mungu. Ahsante sana kwa kunikumbuka.
Uwe na asubuhi njema. [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Asante mwifwa, asubuhi njema pia.Asubuhi njema elvee.
Popote ukiona chai iliyoiva unishtue
SawaAsante mwifwa, asubuhi njema pia.
Nilikumiss
Chai bado bado.
Nawe pia,nikutakie siku njema,full high day njema zaidi
Na wewe pia mkuuWakuu mimi nilibanwa mno na majukumu nikachelewa kuingia humu,nawaomba niwatakie mchana mwema na siku njema pia kwa ujumla wake.
Shukrani nyingi sana kiongozi,mwalimu wake na cha mdeko teh teh.Na wewe pia mkuu
Uwe na mchana na pilika pilika. njema za kusaka tonge
Asubuhi njema kipenzi.Tanxssss